Kule Kwetu
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 3,157
- 1,894
Lakini mkuu watu weusi wenye kupenda weusi wao ni wachache.Kungekua na sindano unajidunga phenotype inabadilika na kua mzungu moja kwa moja basi nahisi huyu mdada angekua wa kwanza, akifuatiwa na wadada weusi wengi tu, watu wanafananisha uzungu na pesa.
Elimu ndogo, social media inazidi kuvuruga maana watu kama Wema ndio wanaongoza followers. Tusipoli~solve hili tatizo generation inayofuata itakua inatisha.
Lakini mkuu watu weusi wenye kupenda weusi wao ni wachache.
Njaa, Ujinga Ushamba na Uigaji unampoza sana Wema pamoja na mabinti wengi kweli wa kibongo.Ahahahahaaaa yeah right!
Huu ndo 'Uzungu' wake.
Hebu yasikieni hayo matusi ya 'Mzungu'.
'Mzungu' in action...
ππππ
Hao wanaotukanwa pia wanaumia sana ila wanashindwa kureact sana eti kulinda umaarufu wao hapa bongo.Dah, kwakweli watu tumeumbwa tofauti, siitaji kutukanwa tusi kubwa kama huyu dem anavyotukana, angepata fahamu akiwa Muhimbili chumba cha uangalizi maalumu siku ya 3 nahata aulizwe kilitokea nini hatokuwa na kumbukumbu.
Mwanamke akishakutukana matusi mazitomazito kama hayo na ukamuacha salama huna haja ya kuwa maarufu, umaarufu sio kuonyesha kuhimili matusi ya kike ila kuonyesha kuwa mwanaume ni kichwa.Hao wanaotukanwa pia wanaumia sana ila wanashindwa kureact sana eti kulinda umaarufu wao hapa bongo.
Mwanamke apigwi bali anapigwa mkwara w kupigwa na anatulia.Dah, kwakweli watu tumeumbwa tofauti, siitaji kutukanwa tusi kubwa kama huyu dem anavyotukana, angepata fahamu akiwa Muhimbili chumba cha uangalizi maalumu siku ya 3 nahata aulizwe kilitokea nini hatokuwa na kumbukumbu.
Muda wa mikwara kwa mwanamke alikukosea adabu unaupata wapi?Mwanamke apigwi bali anapigwa mkwara w kupigwa na anatulia.