Wema amenishangaza kwa kauli ya "yeye na uzungu wake"

Wema amenishangaza kwa kauli ya "yeye na uzungu wake"

Ni wachache sana, na kilichopelekea hapo ni pressure, hollywood movies zilianza zamani tu kuonyesha mwanamke mweupe kua ni mzuri kuliko mweusi, society ikaiga, sehemu zote wakaanza kufanya hivyo, siku hizi hata wasanii wa bongo wakifanikiwa tu wanakimbilia kuweka weupe tu kwenye video zao, nyimbo za matatizo ndio watarudi kuchukua wadada weusi. Msichana gani atapenda weusi kwa pressure yote hii?
Binadamu vila.za kazi sana kudeal nao, hili hata hawalioni.
huku mtaani mtoto akiwa mweupe anasifiwa mzuri... akiwa mweusi anapotezewa.. deeply anapoteza kujiamini anaamini weupe ni thamani akikua kidogo anakimbilia mikorogo.
 
Kwanza naomba kuuliza kwani hayo matusi alikuwa anamporomoshea nani, maanake mpaka sasa siamini nilichokiskia, naomba jibu liwe ni wale mbwa wake
 
Tatizo madada zetu wa kiafrika mabongo yao yamepigwa minyororo ya fikra finyu.
 
Sidhani kama kuna mtu hajapenda singeli hata Wema na "uzungu"wake kaipenda
 
Bora Wema anaitwa hata Wema Sepetu kuna watanzania wanaitwa Peter Paul Charles au abdallah Mohammad Ally wengine siku hizi wanaitwa Cookie, Sean, Washington nk. Unajiuliza huyu ni mtanzania au
 
Back
Top Bottom