Kama hii ndio lifestyle ambayo wasanii wa Tz wanaita uzungu basi bado wana ujinga sana.Haya hapa...ππ
huyu askari alikuwa anafanyaje hapa hahahaha halafu huyu si mwanaume alishidwaje kumpchapa hata vibaoAhahahahaaaa yeah right!
Huu ndo 'Uzungu' wake.
Hebu yasikieni hayo matusi ya 'Mzungu'.
'Mzungu' in action...
ππππ
Huo uzungu au uswahili daraja la kwanza[emoji1] [emoji1] [emoji1]Ahahahahaaaa yeah right!
Huu ndo 'Uzungu' wake.
Hebu yasikieni hayo matusi ya 'Mzungu'.
'Mzungu' in action...
ππππ
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Ahahahahaaaa yeah right!
Huu ndo 'Uzungu' wake.
Hebu yasikieni hayo matusi ya 'Mzungu'.
'Mzungu' in action...
ππππ
Mtoto Sonia mimi nikuzimiaaa,Uzungu hata siujui[emoji126][emoji126][emoji126]
Yeye mwenyewe ana weupe wa carolite!!Cjaelewa uzungu gan anausemea yaan kuongea kiingereza au kuwa mweupe
nyambafu zakee
Teh teh teh...Anasema uzungu sababu ya kuongeza matako ya kichina.
Hiyo English yake ndo imeniacha hoi.Ahahahahaaaa yeah right!
Huu ndo 'Uzungu' wake.
Hebu yasikieni hayo matusi ya 'Mzungu'.
'Mzungu' in action...
ππππ
Hahahaa.....LOLESTAnasema uzungu sababu ya kuongeza matako ya kichina.
u call that kizungu? Hicho cha kujing'ata ulimi?Ulimbukeni na kweli ni mzungu hawezi kuongea sentensi moja bila kuweka kizungu.
Haaa haaa Eve bana...eti ilikuwa kwenye busKuna movie moja ameekt ni mke wa patcho, akaachika akawa mke wa nani sijui akaachika, akawa mke wa jb naona alikua anaigiza huo uzungu.... Movie inanipa kichefuchefu basi tu ilikua imewekewa kwenye bus