Wema Ana haki ya kulilia Tanzanian sweetheart , ni brand yake

Wema Ana haki ya kulilia Tanzanian sweetheart , ni brand yake

Hilo ni Jinaa tuu mzee sio brand.... Endless fame ndo brand...!! Sasa kukaa unaliliaa kuitwa Swt hrt sijui mataka taka gani ni ufalaaa
 
Hilo ni Jinaa tuu mzee sio brand.... Endless fame ndo brand...!! Sasa kukaa unaliliaa kuitwa Swt hrt sijui mataka taka gani ni ufalaaa

So jina haliwezi kuwa brand mkuu?🤷🏾‍♂️🤷🏾‍♂️
 
Kisheria ndio , kama hajasajili Hana haki ya kushtaki popote , yet why mtu utumie jina ambalo unajua kabisa mtu flani anatumia, that's so unprofessional and amateur especially kwa hamisa ambaye ana marketing manager msomi tu
Mbona hamissa mwenyewe hajatamka kama hilo jina analitaka?kwa nn mumuattack Mobetto na si team yake? Coz team yake ndio inamuita na so yy anayejiita inaonekana Mobetto Ni tishio sana ndio maana mnauattack sana
 
Hilo ni Jinaa tuu mzee sio brand.... Endless fame ndo brand...!! Sasa kukaa unaliliaa kuitwa Swt hrt sijui mataka taka gani ni ufalaaa

Kwa hiyo jina haliwezi kuwa brand au , ebu nielezee🤷🏾‍♂️🤷🏾‍♂️🤷🏾‍♂️🤷🏾‍♂️🤷🏾‍♂️
 
Kupenda kitonga aka kusafiria nyota ndiyo weakness ya hamisa[emoji16][emoji16]like wakati anajizalisha kwa monde alifikiria atageuka kuwa Zari..
 
Kisheria ndio , kama hajasajili Hana haki ya kushtaki popote , yet why mtu utumie jina ambalo unajua kabisa mtu flani anatumia, that's so unprofessional and amateur especially kwa hamisa ambaye ana marketing manager msomi tu
Hivi ushawshi skia hamisa anajiita hvyo?,mbona mwamlisha maneno..hizi timu binamu zinazidi jamani sasa
 
Hivi yule dogo niliyemuona kwenye clip akienda kuangukia na bunch la maua, mwishowe alifanikisha kukipata alichokuwa anakililia?
 
Back
Top Bottom