Wema Ana haki ya kulilia Tanzanian sweetheart , ni brand yake

Wema Ana haki ya kulilia Tanzanian sweetheart , ni brand yake

Wangeli kuwa wanawania jina kama 'Kilimanjaro virgin' au 'Zanzibarspice' ningewaona wana ujuzi.
 
Ila bibie anapenda sana used stuffs.. Kachukua baba watoto wa mwenzie akijua nyota itahamia kwake... Huko kumeshindikana, now anataka nyota ya jina.. Aji brand kivyake tu
 
Wema aende COSOTA akasajili na basata ili apate haki miliki,,,,,,,
 
Tanzania's Sweetheart au Tanzanian sweetheart?

There is a huge difference.
 
Ebu nifafanulie kwanza binamu 🤣🤣
umepooooza banaaa weeeeeeee!
yani kama sijui nani wa kolomije huko!
huwezi zile swag zako tunazijua!
unajibu reply kiaje sijui!
mi bana huninogeiiiiiiii!
 
Hamisa Mobeto nae, dah[emoji18] Mtamfanya Diamond atembee huku kavaa chupi kichwani.
IMG-20150920-WA0004.jpg
 
Back
Top Bottom