Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani amekudanganya kuwa endless fame siyo jina la brand?So jina haliwezi kuwa brand mkuu?🤷🏾♂️🤷🏾♂️
Hata mimi nimejiuliza huu uandishi.. Naona 'objectivity' imeongezeka kwenye uandishi. Ulivyopotea, ulikuwa shule au?Aaaah kwa nini binamu
Wabongo hakuna akili..yaaani CD anakua sweetheart wetu?tuna akili kweli?a smart person anatafuta haki kisheria.... so Wema ndo amateur wa kwanza
CD anapokua sweartheart wa wabongo..tunadhihilisha upeo wetu wakufikiri!Hivi yule dogo niliyemuona kwenye clip akienda kuangukia na bunch la maua, mwishowe alifanikisha kukipata alichokuwa anakililia?
umepooooza banaaa weeeeeeee!Ebu nifafanulie kwanza binamu 🤣🤣