Wema Aonywa kuhusu Batuli, Batuli ni Mafia

Wema unamjua kwa Sababu ni changu,hyo mwingine sio changu ndio maana humjui
Sio change sababu hujui ishu zake au?
Kwa Huyo mheshimiwa alienda kufanya nn kama sio sababu ya mapenz?
Hata kama humpend wema sio kiivyo mkuu
 
Warumiiiiiiiii,Batuli sio changu?
Acha masikhara bhana.

Wote ni machangu,sema Wema yupo open tofauti na Batuli.
BTW Wema ni star,Batuli anamjua nani?
Yaan hapo ndo lanichosha
I seems anaandika kwa mahaba
 
Tukubali Tu hata batuli nae sio smart kama anavyonadiwa na huyu poyoyo,si Wema si batuli wote ndo vile vile ...kwaiyo warumi akitaka kuchamba achambe wote na sio kutoa kiki safi kwa mtu mchafu kama batuli
Upoyoyo unazidiana mkuu...nadhani hata darasani yule mtu anayeshika nafasi ya 30 huwezi mfananisha na mtu anayeshika nafasi ya 20 kiuhalisia lazima wa 20 atakuwa smart kuliko wa 30 na ndivyo ilivyo kwa Batuli na Wema tukiwapambanisha in smartness criteria Batuli ni smart kuliko wema
 
Naona umeanza tabia za umbea na kuongea ujinga ujinga atangalia wasije kukusila bure vijana wa mjini
 
Kwani wema ana nini? Mbona naye kaomba kiki kwenye siasa kaona kiki hazipatikani now dayz
Yeye kahama chama

Wanaotafuta kiki ni wale wanaosubiria aongee ili wao waite media wakakanushe
 
Hayo yote ni kwasababu ya Mr Bashite tumechoka bwana akalete magamba tu maana hamna namna nyingine.
 
Povu linakutoka kwa sababu ya Wema [emoji23] kweli una matatizo by the way dunia nzima inajuwa kuwa wema ni prostitute
Kuna bongo movie gani asiye prostitute???????????

Wengine wanajaza mwendo kasi tatu na bajaji 2

Au kwa kuwa hawawaposti insta???

Hiyo Batuli ana utakatifu gani???
 
Hili jamaa bonge la pimbi kumbe eeeeeehh.. ati Batuli mafias.. Chizi we you must be insanity.. Unawajuwa mafias wee pumbavu eboooooo... Very lowly life scum nasty skendoulous... Just Zipp you're lips [emoji182]
 
Hii nchi ndio maana ni masikini,hivi jitu zima linakuja kuleta umbea humu eti wema na batuli,inatusaidia nini sisi??hivi tz ya viwanda tutaipata kweli??kutwa kusema yasiokuhusu mbururaa kabisa
 
Eti Batuli cjui Bakuli, hamna kitu acha aendelee kupakuliwa mboga.
 
Mbona sijwahi sikia bongo movie wa kiume wakifanya ishu kama hizi,, sijui Ray kamposti jb wakafatana, always girl girl.......Kuna nn behind the scene ???.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…