Wema Aonywa kuhusu Batuli, Batuli ni Mafia

Wema Aonywa kuhusu Batuli, Batuli ni Mafia

tapatalk_1486845506676.jpeg

[emoji101].........[emoji23] [emoji23]
 
ivi huwa nahoji muigizaji maarufu na mkubwa wa filamu tanzania alafu anazaidi ya miaka 5 hana filamu hata moja na hana dalili wala hajiusishi na sanaa hiyo maana yake nini?
 
Threads zingine inatakiwa uwe mbeya na mtu wa kufuatilia maisha ya mtu kuliko maisha yako binafsi. Napita tu
 
Mkuu wewe ni ME au KE?......Kama wewe ni Me halafu unaandika threads kama hizi basi nina wasiwasi na hormones zako.

Ushauri: Acha Umbea
 
Msanii maarufu wa bongo movie, Wema Sepetu, Ameonywa kukaa mbali na msanii mwenzie Yobnesh Yusuph Maarufu kama Batuli, kwani mwanamke huyo ni moto wa kuotea mbali,unaambiwa bongo movie nzima wanalijua timbwili la batuli.

Mnajua kwa nini wema kakimbilia kumpost Batuli instagram baada ya batuli kumlipua wema? Unaambiwa wema anaujua vizuri mziki wa Batuli, hivyo alienda insta kujikosha kuwa walipendana na Batuli, hata hivyo kwa kuwa Batuli sio mpenda kiki amekana vikali wema kusema anampenda na badala yake kasema yeye ndo alikua anampenda wema na hataki unafiki.

Inasemekana Batuli ni mtu asiyependa makuu na sio muongeaji sana ila linapotokea ukamchefua basi vita yake sio ya nchi hii, pia batuli ni mtu ambaye yupo smart sana kichwani na huwa hakurupuki hivyo hujipanga vizuri kumshambulia adui yake, hivyo wema sepetu ameonywa vikali kukaa mbali na mwanamke huyo, kwani atamuaibisha na kumvua nguo.

Aaaaah mama ubaya kapatikana, umeingia choo cha kike mwaka huu, ulizoea kuwaonea akina Aunty Ezekiel eeh wanakubebea mpaka mapochi.

Jamani mkitaka kujua timbwili la Batuli muulizeni muheshimiwa naniliuuu, unaambiwa batuli alimfuata huyo muheshimiwa mpaka kwa mke wake na kuanzisha timbwili la mwaka, aaaah huyo muheshiwa simtaji ng'ooooo!
7c4166ffaac3ab40871d0290bf47bc5a.jpg
Angekua smart kichwani asinge fanya hayo aliyoyafanya kipindi cha kampeni
 
Back
Top Bottom