kamanda wa makamanda
JF-Expert Member
- Aug 21, 2015
- 629
- 492
changu tu huyo batuli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Warumi aka SHEMALEUmbea ndo uliyokufanya unijue, ungekua sio mbea usingenjua
Anapenda gari huyo!Warumiiiiiiiii,Batuli sio changu?
Acha masikhara bhana.
Wote ni machangu,sema Wema yupo open tofauti na Batuli.
BTW Wema ni star,Batuli anamjua nani?
WordWarumiiiiiiiii,Batuli sio changu?
Acha masikhara bhana.
Wote ni machangu,sema Wema yupo open tofauti na Batuli.
BTW Wema ni star,Batuli anamjua nani?
Tupe tupe tupeAaaaah umeona eeh
Ha Ha ha ha ha haNiite bashite binamu, aaaah lol
Ahahahahahahahahha binam acha utafungiwaKaoshe uchi mbwa wewe
Eti kisa anapiga chafuu mtandaoni au niniiiiiii,,wambea tushapewa headline mengine tutajaza wenyeweHivi umbea wa diva kufukuzwa kazi umeupata binamu
Yaani upuuzi mwingine unachekesha sana huo umafia wa Batuli nini haswa na wakati tunamjua vizuri sana huyo Batuli,kwa lipi haswa wote wauzaji tu hao.Msanii maarufu wa bongo movie, Wema Sepetu, Ameonywa kukaa mbali na msanii mwenzie Yobnesh Yusuph Maarufu kama Batuli, kwani mwanamke huyo ni moto wa kuotea mbali,unaambiwa bongo movie nzima wanalijua timbwili la batuli.
Mnajua kwa nini wema kakimbilia kumpost Batuli instagram baada ya batuli kumlipua wema? Unaambiwa wema anaujua vizuri mziki wa Batuli, hivyo alienda insta kujikosha kuwa walipendana na Batuli, hata hivyo kwa kuwa Batuli sio mpenda kiki amekana vikali wema kusema anampenda na badala yake kasema yeye ndo alikua anampenda wema na hataki unafiki.
Inasemekana Batuli ni mtu asiyependa makuu na sio muongeaji sana ila linapotokea ukamchefua basi vita yake sio ya nchi hii, pia batuli ni mtu ambaye yupo smart sana kichwani na huwa hakurupuki hivyo hujipanga vizuri kumshambulia adui yake, hivyo wema sepetu ameonywa vikali kukaa mbali na mwanamke huyo, kwani atamuaibisha na kumvua nguo.
Aaaaah mama ubaya kapatikana, umeingia choo cha kike mwaka huu, ulizoea kuwaonea akina Aunty Ezekiel eeh wanakubebea mpaka mapochi.
Jamani mkitaka kujua timbwili la Batuli muulizeni muheshimiwa naniliuuu, unaambiwa batuli alimfuata huyo muheshimiwa mpaka kwa mke wake na kuanzisha timbwili la mwaka, aaaah huyo muheshiwa simtaji ng'ooooo!![]()