Teve mi nimechoka bhana!!!!????????Huyo Teve ni nani
Maana yake Steeve
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teve mi nimechoka bhana!!!!????????Huyo Teve ni nani
Rasi lion na John walker.hii kitu hii.Mimi ilishasababisha nikala ada ya shule hii kitu hiiDuh ndo maana kuna yule msanii gani sijui nimemsahau jina alishaimba ule wimbo unasema "Hii kitu hii kitu hii kitu hii Hii kitu hii...." nimesahau muendelezo wake, anayekumbuka auendeleze
Ni Steve Nyerere,akiwa na mtu anayejirekodi kwa kumuigiza Wema
Sasa huyo mtu kachoka kurudia mara kwa mara ili aipatie sauti.Ndio maana anasema "Steve mi nimechoka bhana"
Michezo ya vijana wa mjini,wasiofanya kazi kwa kutegemea mizinga ya wanasiasa
Steven ndo alinegotiate Wema ahamie Chadema,audio ya Wema na Mbowe ni kweli.Sema Wema kaamua kuiachia ili alipwe mpunga waliopatana kipindi anahamia Chadema,Ngonja video zitoke Mbowe akiwa yupo uvinza kwa Wema ndo mtaelewa.Nadhani umeshaelewa sasa malizia kwa kuchek hiyo video
Mbona wema kaongea tu mwenyeweAsema ujumbe huo utakuwa umesambazwa kutokea kwa Mbowe mwenyewe(mke wake au girl friend wake) Msikilize Wema:
Hawa hapa wanatongozana - angalia video "live": Sauti hiii ya nani?Hao wenye nia ovu ndio wamemtuma amgegede Wema! How pathetic!
Mambo yameingiliana sijuwi nani mkweli.![]()
![]()
tunatolewa kwenye mambo ya msingi hivi hivi...mnyika aburuzwa toka bungeni na kupigwa ban kinyume cha kanuni,pof mruma na ripoti yake rubbish,mghwira wa ACT atahudhuria vipi vikao vya ccm vya mkoa,kunyimwa uwanja kumuaga ndesapesa....stupid country