Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,179
- 26,188
Hawa wameigiza sauti,Wema amekanusha kupitia snap chat!Dah huu ndio uongoz wa chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa wameigiza sauti,Wema amekanusha kupitia snap chat!Dah huu ndio uongoz wa chadema
Hii nayo imetengenezwa? si Wema anakiri kabisa...Asema ujumbe huo utakuwa umesambazwa kutokea kwa Mbowe mwenyewe(mke wake au girl friend wake) Msikilize Wema:
Hii scandel ingekua ya makonda jicho lingekutoka kama unakata gogoNi Steve Nyerere,akiwa na mtu anayejirekodi kwa kumuigiza Wema
Sasa huyo mtu kachoka kurudia mara kwa mara ili aipatie sauti.Ndio maana anasema "Steve mi nimechoka bhana"
Michezo ya vijana wa mjini,wasiofanya kazi kwa kutegemea mizinga ya wanasiasa
Wewe sauti take huijuiTutajuaje ka uyo anayeongea ni wema?
Angekua makonda mngefurah kishenz yamewafika ndo mnaanza kujiuma uma hapa, nilijua mbowe ni fisad wa pesa pekee kumbe had mapenz aisee ni nomaaHivi hii sauti ya wema ilivyo nyororo ishaharibika? hat hii ya kubumba kwa sababu tune yake bado, tafta sauti ya wema akiwa analalamika ni lazima hatupie kingereza hatari hapa maccm yamenoa
Hatufungui tunamjua wema hana siri mh anapiga mzigo yeye sasa nyie mnakanusha kama nani? Mnakuwepo siku zote akipiga mzigo?Na hii nayo ni Wema
Acheni kumtetea uzinzi, nyie ni nani mpaka mnakanusha, kwenye official page ya Wema hakuna sehemu aliyokanusha hii scandalDemu mwenyewe kaigiza pia hapa: Sauti hiii ya nani?
Hey wemaaaaa.
Kweli chini kuna run dunia.
Mbowe karegeza sauti.
Acheni CHINI kuitwe CHINI.
Wewe ahadi ulizopewa umetimiziwa? Au kwa kuwa unajali?
Hii mkiwa saba au watano tu mna create group mnaliita CCM mpya kisha mnajipa majina kama Makonda, polepole and so kisha mtachat mka screen shot mnaleta hapa, acheni upuuzi Mbowe anakula mzigo kama kwa mh Mukya tu alianza kukanusha hivi hivi mpaka sasa mtoto anatembeaMambo yameingiliana sijuwi nani mkweli.![]()
![]()