ZIRO
JF-Expert Member
- Nov 10, 2014
- 896
- 658
Kama ni kwel basi mbowe mwanaume aisee, bora anagonga kuliko ingekua anagongwa (kupoteza marinda).hahahahahaha Mbowe ni msaliti.
Mambo ya jazwa ujazwe....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni kwel basi mbowe mwanaume aisee, bora anagonga kuliko ingekua anagongwa (kupoteza marinda).hahahahahaha Mbowe ni msaliti.
Mambo ya jazwa ujazwe....
Acheni kutengeneza page fake, nenda kwenye official page ya Wema kama utakuta uongo huu ulioweka kama upo, hajakanusha wala kukubali inamaana hii issue ni kweli.
Usipate taabu mkuu ni sauti yako na mh Mbowe siyo wema.Tutajuaje km huyo ni wema?mbona ni kujirekodi tu?
Kama walichemka ile ya Rwakatale na ugaidi, chini ya director mwongozo movie the fidel marshal Mwigulu, tusitegemee jipya hapa. Ngoja waendelee kujitekenya na kucheka wenyewe.Hii movie nayo itapita wataunda nyingine nayo itapita and the life goes on.
Halafu wengine tuikemea ujinga kama huu tunapigwa ban, moderator hovyo sana wako upande wa maccm majambazi yanayotesa na kuteka wanyongeWaweke video,sio kusambaza sauti! Moderator leo wameamua kushirikia kumchafua Mbowe!
Sina undugu na zuzu wa aina yako, wala hawezi kutokeaMkaruka Mimi sijakutukana,wewe unatukana.
Humu tunatumia majina bandia...Ikiwa unamtukana baba yako au mtu wa karibu na baba yako,huoni unajitengenezea jambo lisilokufaa?
Sijatetea mtu,ndio maana nimeshangaa vijana wa pande zote,wale wa CCM na wale wa Upinzani.
mkuu subiria mapovu ya wanaume wa dar [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Usipate taabu mkuu ni sauti yako na mh Mbowe siyo wema.
HahahahaMpigie, Tomaso mkubwa wewe
Ni Steve Nyerere,akiwa na mtu anayejirekodi kwa kumuigiza Wema
Sasa huyo mtu kachoka kurudia mara kwa mara ili aipatie sauti.Ndio maana anasema "Steve mi nimechoka bhana"
Michezo ya vijana wa mjini,wasiofanya kazi kwa kutegemea mizinga ya wanasiasa
Aisee mkuu umewaza mbali sana kama mimi. Mi mwenyewe wakati nasikiliza uho "uharo" kitu cha kwanza kunotice ni hilo shudu. Watu muwe wapenzi alafu muitane kaka au dada wapi na wapi?unajua nitashangaa kama mbowe anapiga na wema ni kweli,the girl is empty headed
halafu ni kama ana kizizi flani..umenotice eti anamuita mbowe kaka wakati mbowe anaweza kumzaa!!!!!
kama ni kweli hii skendo ni zaidi ya watergate kulaleki
Duh kumbe ni Zengwe la kupikwa na hawa ma zero brain kina bashite, Gambo na wenzao ..Mambo yameingiliana sijuwi nani mkweli.![]()
![]()
Hao wenye nia ovu ndio wamemtuma amgegede Wema! How pathetic!