Wema atoa offer ya Mil. 2 kwa atakayempata mbwa wake...

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumetofautiana Maisha hivyo vimbwa ukiachana na hiyo hela aliyoitaja ya zawadi bado bei ya kuvinunua imesimama sana vina gharama.

Daah ila nahis pia kichwan hayupo sawa mama manunu sijui 🤣kila nikiingia insta nasoma coment za hapo zinafurahisha sana
 
Wana pesa hawa wasanii kumbe? Ss mbona wengine wanasema usanii wa filamu haulipi kwa sasa?

Hela Yao wanapata kwa mambo mengi,wengi wao wamefaya sana kazi ya kuwa PUNDA!! Shoga yake Wema ALLU si kakamatwa na wanaume zake wauza NGADA!!!
 
Maskini huyu dada hana energy tena kama zamani, Bora aende kukaa hata pembeni ya mji afuge hata kuku

Maana ashakuwa low level
 
Hela Yao wanapata kwa mambo mengi,wengi wao wamefaya sana kazi ya kuwa PUNDA!! Shoga yake Wema ALLU si kakamatwa na wanaume zake wauza NGADA!!!
Pia ma sponsor...hao bongo muvi wanatembea na vibopa wenye pesa zao..infact wanajiuza ki dot com..na hotel yao pendwa ni pale regency mikochen..nishawakuta sanaaa pale kina tunda gigy na takataka zingne..kibopa anaweza mkodia chumba pale dola 60 dem anakaa pale mwez mzima ye kibopa kaz yake kuja na kuondoka..ndomana mnaona kina tunda alikua mapicha meng sana hotelin..ogopa sana..na weng wame ungua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…