Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumetofautiana Maisha hivyo vimbwa ukiachana na hiyo hela aliyoitaja ya zawadi bado bei ya kuvinunua imesimama sana vina gharama.Sio sir inachekesha sana 2milion kwa mbwa huku kwetu sisi unapata kiwanja kbs
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumetofautiana Maisha hivyo vimbwa ukiachana na hiyo hela aliyoitaja ya zawadi bado bei ya kuvinunua imesimama sana vina gharama.
Hahaha we mtu we kibkoMaisha Hayo kwio
unajua wema kuna muda anafanya vitu kupata attention tu ila kwa uhalisia yeye mwenyewe nahtaji msaada mkubwa tuIla Wema nae ana visaa...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nawaza wamama wa mtaani wanaoenda kukopa na kuuziwa nyumba zao kisa 2M loooh!
Wana pesa hawa wasanii kumbe? Ss mbona wengine wanasema usanii wa filamu haulipi kwa sasa?
View attachment 1724881
Nimekutana naye MANUNU maeneo ya buguruni anajiandaa kufunga ndoa [emoji39] mwenye namba ya wema tafadhali
DuhHela Yao wanapata kwa mambo mengi,wengi wao wamefaya sana kazi ya kuwa PUNDA!! Shoga yake Wema ALLU si kakamatwa na wanaume zake wauza NGADA!!!
Pia ma sponsor...hao bongo muvi wanatembea na vibopa wenye pesa zao..infact wanajiuza ki dot com..na hotel yao pendwa ni pale regency mikochen..nishawakuta sanaaa pale kina tunda gigy na takataka zingne..kibopa anaweza mkodia chumba pale dola 60 dem anakaa pale mwez mzima ye kibopa kaz yake kuja na kuondoka..ndomana mnaona kina tunda alikua mapicha meng sana hotelin..ogopa sana..na weng wame unguaHela Yao wanapata kwa mambo mengi,wengi wao wamefaya sana kazi ya kuwa PUNDA!! Shoga yake Wema ALLU si kakamatwa na wanaume zake wauza NGADA!!!
Kulambwa lambwa "chiu"Kupigwa deki ndio nini?
Behind the scenes [emoji16]Hivyo vi mbwa huwa vinawapiga deki kwenye papuchi[emoji23] hata atoe 2M Ni sawa kwake[emoji23][emoji23]
Mpuuzi huyu eti kigauni cha brownWema akilj ndogoView attachment 1724696View attachment 1724697