Ni strong woman, si mpenda dezodezo kama mademu wengi hapa mjinijide anakuuma kwasababu gani?
hiyo kweliNi strong woman, si mpenda dezodezo kama mademu wengi hapa mjini
Aiotea wap kwan anayo sasa
[emoji2][emoji2][emoji2] vipi mzee unataka kubweka? Au ni masikitiko ya kupotea kwa manunu?
Kusema za ukweli sijui kama alishakufa au yupo hai. I was close to his wife as an office mateOooh ok...kwahiyo Clement bado yuko hai eti?
Jide alitembea na Ruge enzi wapo clean na waliachana kitambo ,sidhani kama Komando ana GRIDI.Jide ndo ananiuma balaa, coz ni fighter sana yule mmama[emoji22][emoji22]
Hii midemu mingine mipenda kitongaaa walaaa, hainiumizi kichwa[emoji848]
CK wa wema kumbe alishavuta?Marehemu Clement Kiondo (Kyondo)
CK
Jasiri mbona alikuwa mchafuzi namna hiyo? Alikuwa awahurumii vijana kina romi,bilinasi,dayamondi etc?Mke wa romy jones kazaa na ruge . Chezea
Alivuta 2019 nadhaniCK wa wema kumbe alishavuta?
[emoji23]Huyu jamaa ni wivu tu unamsumbua..
Nahisi umechanganya Badriya Kiondo aliyekuwa Mkuu wa Utawala na Fedga ktk ubalozi wa Tanzania nchni India mume wake alikuwa ni Frank Mwamkai Kiondo siyo CK.Aliyekufa ni mke wake Badria
Oh nimechanganya madesa, maskini mama wa kizenji aliumiza sanaNahisi umechanganya Badriya Kiondo aliyekuwa Mkuu wa Utawala na Fedga ktk ubalozi wa Tanzania nchni India mume wake alikuwa ni Frank Mwamkai Kiondo siyo CK.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Yes was good mama RIP.Oh nimechanganya madesa, maskini mama wa kizenji aliumiza sana
Alivuta 2019 nadhani
Sijui kwanini haikutrend ila alifariki nna uhakika 100%
Inashangaza hadi Warumi hajui ila anachujua kwamba yupo kijichi katulia.Sijui kwanini haikutrend ila alifariki nna uhakika 100%
Aliepo kijichi kasema wema broInashangaza hadi Warumi hajui ila anachujua kwamba yupo kijichi katulia.