Wema atoa offer ya Mil. 2 kwa atakayempata mbwa wake...

Wema atoa offer ya Mil. 2 kwa atakayempata mbwa wake...

Jide ndo ananiuma balaa, coz ni fighter sana yule mmama[emoji22][emoji22]

Hii midemu mingine mipenda kitongaaa walaaa, hainiumizi kichwa[emoji848]
Jide alitembea na Ruge enzi wapo clean na waliachana kitambo ,sidhani kama Komando ana GRIDI.
 
Nahisi umechanganya Badriya Kiondo aliyekuwa Mkuu wa Utawala na Fedga ktk ubalozi wa Tanzania nchni India mume wake alikuwa ni Frank Mwamkai Kiondo siyo CK.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Oh nimechanganya madesa, maskini mama wa kizenji aliumiza sana
 
  • Thanks
Reactions: Ilu
Hatimae amejitokeza
255692879059_status_95c645e9af554486881ff01bd6dc645d.jpg
 
Back
Top Bottom