warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
MAHASIMU wawili katika anga la mastaa , Wema Sepetu na Aunt Ezekiel wiki iliyopita walikwepana na kushindwa kusalimiana, licha ya wote kuwa waalikwa katika hafla maalum ya kujipongeza iliyofanyika Ikulu , jijini Dar es Salaam.
Aunt Ezekiel .
Gazeti hili ambalo pia lilikuwepo kwenye viwanja hivyo vilivyosheheni mastaa wa fani mbalimbali , liliwaona wawili hao ambao awali walikuwa marafiki wakubwa , wakijivinjari kwa tahadhari ili wasikutane , licha ya nyakati tofauti kuzungumza na mastaa wengine .
Wema ambaye katika kampeni za CCM alikuwa pamoja na Makamu wa Rais , aliyekuwa mgombea mwenza Samia Hassan Suluhu , wakiwa na kundi lao maarufu la Mama Ongea na Mwanao , muda mwingi alionekana akiwa na wenzake aliokuwa nao ? Timu moja ? Kwenye kampeni .
Aunt Ezekiel ambaye wakati wa kampeni hizo alikuwa kundi lililopewa jina la Nimestuka , naye alijichanganya na waalikwa wengine lakini jicho lake likiwa makini kuhakikisha hakutani hata sehemu moja na muigizaji huyo wa Filamu ya Madam .
Katika sherehe hiyo pia walikuwepo viongozi mbalimbali wa kitaifa wa serikali iliyopita , akiwemo Waziri Mkuu Mizengo Pinda na mkewe, mama Salma Kikwete na waziri mkuu wa zamani wa Kenya , Raila Odinga na mkewe .
Mastaa wengine waliojumuika katika hafla hiyo iliyochagizwa na muziki kutoka kwa Yamoto Band ni pamoja na mwanamuziki nguli wa muziki wa dansi , Ally Choki , muigizaji mkongwe , Bi Mwenda , mlezi wa wasanii Mama Loraa na Mbasha.
Aunt Ezekiel .
Gazeti hili ambalo pia lilikuwepo kwenye viwanja hivyo vilivyosheheni mastaa wa fani mbalimbali , liliwaona wawili hao ambao awali walikuwa marafiki wakubwa , wakijivinjari kwa tahadhari ili wasikutane , licha ya nyakati tofauti kuzungumza na mastaa wengine .
Wema ambaye katika kampeni za CCM alikuwa pamoja na Makamu wa Rais , aliyekuwa mgombea mwenza Samia Hassan Suluhu , wakiwa na kundi lao maarufu la Mama Ongea na Mwanao , muda mwingi alionekana akiwa na wenzake aliokuwa nao ? Timu moja ? Kwenye kampeni .
Aunt Ezekiel ambaye wakati wa kampeni hizo alikuwa kundi lililopewa jina la Nimestuka , naye alijichanganya na waalikwa wengine lakini jicho lake likiwa makini kuhakikisha hakutani hata sehemu moja na muigizaji huyo wa Filamu ya Madam .
Katika sherehe hiyo pia walikuwepo viongozi mbalimbali wa kitaifa wa serikali iliyopita , akiwemo Waziri Mkuu Mizengo Pinda na mkewe, mama Salma Kikwete na waziri mkuu wa zamani wa Kenya , Raila Odinga na mkewe .
Mastaa wengine waliojumuika katika hafla hiyo iliyochagizwa na muziki kutoka kwa Yamoto Band ni pamoja na mwanamuziki nguli wa muziki wa dansi , Ally Choki , muigizaji mkongwe , Bi Mwenda , mlezi wa wasanii Mama Loraa na Mbasha.