Wema auza gari la Diamond

Wema auza gari la Diamond

Me nngemwona anamaanisha km angesema anamrudishia, maranyingi wapenzi ndo wafanya km ndo anasusa, ss yeye anauza! Hiyo ni dalili ya kufulia, na atakuja kulost had aanze kukitembeza barabarani, me nipo hapa. Anajfanya et ana show, kwa tasnia ipi? Muziki? Mitindo? Au nn maa kuigiza hajui. Huyo dada kwisha habari yake, nae atabak kijcfia kuwa aliwah kuwa mpnz wa Dai km wenzie akina penny

Eti ana show mikoani.
Anataka kujifanya et mjasiriamali kumbe mjasiria uchi ebu atupishe show my foot
 
Kama hataki gundu akiuza na hizo hela akawape watoto yatima. Akizitumia gundu bado lipo palepale ni sawa na kuendelea kulitumia hilo gari.
Anatafuta ujiko tu magazetini, kama kweli ana jeuri alirudishe alikolitoa tuone.....

Mi naona alitudishe tuuu kama linamkera
 
auze mpaka hata taulo alizopewa zawadi atajua mwenyewe Diamond yupo na Zari ambaye ana mtoto mwenye umri kama wa diamond .
 
auze mpaka hata taulo alizopewa zawadi atajua mwenyewe Diamond yupo na Zari ambaye ana mtoto mwenye umri kama wa diamond .

Nadhani pamoja na kuzaa bado mashine ina mnyumbuliko kuliko ya Wema anayeifanyia biashara mpaka kwa vigogo wa ikulu...
 
Now I know Diamond was sincere... wale wengine wakimuacha mbona wanatumpiaga vitu njee?? na magari yao wanachukua??
 
Back
Top Bottom