Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
nakumbuka vzuri.. sasa ivi wanajifanya hawapo kubabeki chezeya magari ya kuhongwa weye ndo warudishe manina zao
Na bado BMW!....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nakumbuka vzuri.. sasa ivi wanajifanya hawapo kubabeki chezeya magari ya kuhongwa weye ndo warudishe manina zao
Thubutu yake,hivi wakionana live na ndomo wataangaliana machoni kweli?
Wote waigizaji na akili zao ni fupi usishangae wakapigana na picha za mahaba na kuwekwa instagram
Hiyo yote ni mtoto mzuri zari.Yani na alivyoajielewagi ndomo akimwambia warudiane ataenda anakimbia.Na mapovu yote sio gari tatizo kavurugwa na boss lady
mmh mama ubaya na yeye anajifanya yupo busy na show? makubwa haya
Wema analia wivu wa kimapenzi. Wema hana chanzo kingine cha pesa zaidi ya urithi wa bibi.
Binamu mimi nilijua toka mwanzo domo n wema walipanga mchezo w zawadi y gari,hivi hiyo gari bei yke yard ni 30m mpka 25m unapata.sasa akisema anauza 20m c atapewa hela fasta inaonekana hana kadi y gari huyo madam
Jamani urithi wa Bibi ndio nini?
Muoneeni huruma huyu bint anajuta sasa, Mkongo kampa BMW lakini shughuli yake kubwa anapakua jamaa atamharibu
cha mtu mavi, si angerudisha tu kama kweli halitaki, kuendekeza umaskini tu na njaa, ndo malipo ya kuhongwa hayo, si aliona raha wakt anapewa magari ya bure, na vichambo juu sasa mambo yamemgeukia anataka kuuza, pambafuu zake