Wema, diamond... Hakuna ndoa

Wema, diamond... Hakuna ndoa

mamaaaa niliposikia hii habari nilidhani sasa nimepata gap na mii alangalau nilambe zigo yamekuwa hayo tena mhhhg
 
Labda Wema anamvutia kasi jamaa ili aje ambwage yeye!
 
Jamani nimepata taarifa kuwa Wema na Diamond wamerudiana tena baada ya mdada huyo kwenda kumuomba mamake Diamond asaidie na aibu inayomuandama. Na kwamba mamake Diamond kwa huruma ya kimama akaamua kumuita Diamond na kumwambia amrudie Wema naye amekubali. Hii ikimaanisha kuwa mama Diamond na Wema sasa wamemaliza tofauti zao. Ni taarifa nilizozipata leo hii. Kweli Penzi kizungumkuti
BAKWATA wanasemaje kuhusu hili swala?
 
Busara na upoleeee..............
Na hekima nilorithi kutoka kwa mama yangu nanaa................
Vyote hukuvijaliiiiiiii................
Ukaona uniache mimii uende kwa mwingineeee...............
Kwa tuku na mkoleaaa.........
Ukakata na shina la penzi langu mamaaa..............
Eti kisa maliiii..............
Ukaona uniache mimi uende kwa mwingine............
Tatizo kwetu Mbagalaaaa........... Hapa nyumba mbele jalalaaaaa.....
Tatizo kwetu mbagalaaaa...........
Ukaona uniache mimi na uoleweeeeee..........
 
Wana tija yoyote wakikosana au wakipatana? Kuna watu wakiachana au wakifa, sarafu ya nchi inashuka thamani, sasa these people are too low kuwajadili humu.
 
Labda Wema anamvutia kasi jamaa ili aje ambwage yeye!

Nakubaliana na wewe asilimia 99.999999 maana wema alisema kuwa katika maish yake hajawahi kubwagwa ndo maana ikamuuma, sasa Diamond asubiri Revenge ya ukweli isiyo na msamaha
 
awe anapenda basi watu wenye heshima zao....mimi Wema anaponichosha ndio hapo....vibwana vyake vyote huwa havieleweki...sijui huwa anatoana nao wapi....na kila mmoja lazima amuaibishe....lakini hakomi.....

Yeye mwenyewe hana heshima, unateemea ampende mtu wa heshima?? ni sawa na kumtaka chizi asiokote makopo
 
Umeona eeh! Afadhali hata angekuja kwangu ama kwa Mwita25..haa haa haa
awe anapenda basi watu wenye heshima zao....mimi Wema anaponichosha ndio hapo....vibwana vyake vyote huwa havieleweki...sijui huwa anatoana nao wapi....na kila mmoja lazima amuaibishe....lakini hakomi.....
 
Busara na upoleeee..............
Na hekima nilorithi kutoka kwa mama yangu nanaa................
Vyote hukuvijaliiiiiiii................
Ukaona uniache mimii uende kwa mwingineeee...............
Kwa tuku na mkoleaaa.........
Ukakata na shina la penzi langu mamaaa..............
Eti kisa maliiii..............
Ukaona uniache mimi uende kwa mwingine............
Tatizo kwetu Mbagalaaaa........... Hapa nyumba mbele jalalaaaaa.....
Tatizo kwetu mbagalaaaa...........
Ukaona uniache mimi na uoleweeeeee..........

Kumbe nawe kwa verse umo
 
awe anapenda basi watu wenye heshima zao....mimi Wema anaponichosha ndio hapo....vibwana vyake vyote huwa havieleweki...sijui huwa anatoana nao wapi....na kila mmoja lazima amuaibishe....lakini hakomi.....

Wanakutana club, wanapendana club, wanamalizana club, wanachumbiana club, wanaoana club na kuachana club!
 
kupenda kubaya.mimi nisingerudi nyuma,uwaite waandishi wa habari na utoe sababu,hiyo peke yake ni kudhalilishwa.yule dada nae akipenda,hupenda hasa
Tatizo la Diamond akosa ushauri sahihi, sasa aite tena waandishi wa habari na kuwaeleza kilichojiri.
 
awe anapenda basi watu wenye heshima zao....mimi Wema anaponichosha ndio hapo....vibwana vyake vyote huwa havieleweki...sijui huwa anatoana nao wapi....na kila mmoja lazima amuaibishe....lakini hakomi.....
Ndiyo miss aliyetembea na wanaume wengi uchwara nadhani kuliko wengine wote. Jumbe, T.I.D, Mr. Blue, Charles Baba, Kanumba, Diamond n.k achilia mbali wanaogonga na kuacha! Hata hivyo anajitahidi kuwa na moyo mgumu, nadhani ni punching box ya kujifunza kwa wanaume kutoka na mastaa.
 
kaa tayari kwa part 2 maana movie za bongo kuna hadi part 10
 
Back
Top Bottom