Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
kweli dogo ataharibu na soko lake la mziki sasa
Bongo hii haipo sema akibweteka atafulia kama Mr. Nice, Feruzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli dogo ataharibu na soko lake la mziki sasa
my friend diamond popote pale ulipo...........hujafanya vyema!!
sisemi hujafany avyem akumuacha wema..la hasha!!kitendo cha kumvika pete ndani ya mwezi huo huo n akuamua kumtosa huyo binti umeprove failure,............umeonyesha jinsi gani huna msimamo kama mwanaume...hata huyo mama yako vile vile si mshauri mzuri hasa kwenye masuala hayo au hakushauri kwa wakati muafaka.....
watu wa dizaini ya diamond wanaitwa 'results driven'.....yaani mnafanya maamuzi baada ya kuamua...sijui kam aumenielewa vizuri....!!
always jaribu kukaa chini na kuwa na watu unaowaamini katika maisha yako utakaokuwa wazk kwako wakushauri kwa kil akitu kilicho mbele yako..................mama yako anakuogopa mdogo wangu.........inawezekana kweli ulishauriwa hivyo na wema na mama akawa hampendi ila alihofia upendo wake kwako...mama nae anamakosa
chakufanya kaa chini..tulia sana na mamboyako ya mapenzi usiyaweke wazi kbs kweny emagazeti unless otherwise....tafuta wakati muafak aUKAMUOMBE RADHI WEMA...machozi yake yatakukost mdog wngu..........huop ni mkosi kwako na kw afamilia yako..usijione shujaa bali ni nuksi na mkosui mkubwa sana huo.................poleni sana wadogo zangu.maisha ni kujipanga every moment u get...narudia tena..............................................EPUKA KUAMUA BAADA YA KUFANY AMAAMUZI...FANYA MAAMUZI SAHIHI WAKATI SAHIHI..
MDAU
thetehetehet! Jamani jf inanikuna mie!!!hivi diamond ni nani haswa hadi ufikie hatua ya kumpatia ushauri kupitia jf.acheni kupandisha chati wahuni wa manzese.
Ni Mtanzania anayestahili kusaidiwa kimawazo na kimali na watanzania wenzake...Aliyekwambia watu wa Manzese hawastahili au hawana hadhi ya kuwa JF ni nani?hebu watake radhi watu wa Manzese....Hivi Diamond ni nani haswa hadi ufikie hatua ya kumpatia ushauri kupitia JF.Acheni kupandisha chati wahuni wa Manzese.
Ni Mtanzania anayestahili kusaidiwa kimawazo na kimali na watanzania wenzake...Aliyekwambia watu wa Manzese hawastahili au hawana hadhi ya kuwa JF ni nani?hebu watake radhi watu wa Manzese....
dah!!namuonea huruma sana huyu wema,bora aame dar aje mkoani,kuna upepo mbayaa hapo dar.akimbie magaziti na umaarufu kwa mdaa,ilaa aina noma kinacho endaaa ndo kinacho rudi akaze moyo....si anaile pete au karudishaa,aka uzee apate japo kiinua mgongo.kuhusu huyu diamond itakuwa blood diamond mda sio mrefu,dogo ana ngangania kukaa na mamaa ampangishie mama nyumbaa plc nzuriii na yeye aanze kuishi kama kijana mwenye msimamo.aaaaaaaaaaaaaaaaaah tia asiraa
Hivi Diamond ni nani haswa hadi ufikie hatua ya kumpatia ushauri kupitia JF.Acheni kupandisha chati wahuni wa Manzese.
my friend diamond popote pale ulipo...........hujafanya vyema!!
sisemi hujafany avyem akumuacha wema..la hasha!!kitendo cha kumvika pete ndani ya mwezi huo huo n akuamua kumtosa huyo binti umeprove failure,............umeonyesha jinsi gani huna msimamo kama mwanaume...hata huyo mama yako vile vile si mshauri mzuri hasa kwenye masuala hayo au hakushauri kwa wakati muafaka.....
watu wa dizaini ya diamond wanaitwa 'results driven'.....yaani mnafanya maamuzi baada ya kuamua...sijui kam aumenielewa vizuri....!!
always jaribu kukaa chini na kuwa na watu unaowaamini katika maisha yako utakaokuwa wazk kwako wakushauri kwa kil akitu kilicho mbele yako..................mama yako anakuogopa mdogo wangu.........inawezekana kweli ulishauriwa hivyo na wema na mama akawa hampendi ila alihofia upendo wake kwako...mama nae anamakosa
chakufanya kaa chini..tulia sana na mamboyako ya mapenzi usiyaweke wazi kbs kweny emagazeti unless otherwise....tafuta wakati muafak aUKAMUOMBE RADHI WEMA...machozi yake yatakukost mdog wngu..........huop ni mkosi kwako na kw afamilia yako..usijione shujaa bali ni nuksi na mkosui mkubwa sana huo.................poleni sana wadogo zangu.maisha ni kujipanga every moment u get...narudia tena..............................................EPUKA KUAMUA BAADA YA KUFANY AMAAMUZI...FANYA MAAMUZI SAHIHI WAKATI SAHIHI..
MDAU
Kweli kuna makosa amefanya. Lakini hiyo ngoma ilikuwa sio size yake. Angempotezea muda tu. Bora amekimbia. Angeumia zaidi huko baadae.