Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ni maneno ya wanadamu tu ambayo hayana gerentii yoyote km ni mapngo wa mungu kwamba hawa watu watakuwa mme na mke basi hata km wataachana kbs na kila mtu kuoa au kuolwa na mtu mwingine wakati wao wa kuwa pamoja ukifika lzm watarudiana na kuoana na mpango wa mungu kutimia na kama sio mpango wa mungu hata km watafunga ndoa siku ikifika wataachana na kila mtu ataenda kukutana na wake aliyepangiwa na mungu kuwa naye maishani.
Pdidy, ingekuwa Wema (mwanamke) kamkataa Diamond (mwanaume) ungetoa ushauri gani kwa wanaume?
Au ungewageukia wazazi kwa kuwaamulia maisha watoto zao? Huyo Diamond alikuwa virgin before Wema?
Anyway ningesema mengi lkn naona inatosha haya!
huyu wema nae kila kittu anaongelea magazetini...hana choo cha shimo akaongelee huko