Wema huijui Mtwara au dharau kwa wanamtwara?

Wema huijui Mtwara au dharau kwa wanamtwara?

hivi huyu kakosa project yyote ya maana na usomi wake aishie kuzunguka na midundiko mikoani?
kule malaysia alienda kusomea degree ya kupangilia mabwana na ukahaba?
ana mambo ya ajabuajabu nachukia hadi kumsikia.mwangalie klynn,nancy,lisa,nargis na wengineo thn yy.hata kama ni kuboost umaarufu lakin sio kwa vitu vya kipuuzi..umiss wenyewe aliupata kwa uchi.na yyte anaemshabikia huyu sio mzima kichwani
wema ana usomi gani?hiyo form four...?!!
 
Katamka kwenye show ya Baikoko/vigodoro alafu mnashangaa.

angetamka hayo kwenye semina ya ujasiriamali au mkutano wa kidini ndio ingeogopesha....hivi mlevi akitukana unashangaa nini?
 
wema ana usomi gani?hiyo form four...?!!
ndo anavosema...afadhali hata shilole na la saba lake but hana upunguani wa kumfikia huyu dada...mi kadr siku zinavoenda sipend hata kumsikia huyu dada,angekua hata na mtu wake wa karibu wa kumshauri but inavoonesha familia yake yote fyatu hadi mama mzaz.
 
Hivi Tanga kulikuwa na watu wengi kweli? Manake sioni yale matashtiti ya kupost matukio yake na Muna, hata wapambe pia nao kimya
Nimejiuliza hilo swali pia [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
pole pachoto kwa kudharauliwa!

Hao ndo wasanii wetu!!full dramazz!!
Yu mpangaji tu hapa Dar er salam, ana nini chakujivunia, anadhalau miji ya watu kwa kujivunia nyuma za watu, zikiwemo za wenye mji anaudharau. Atabaki kunuka kikwapa tu watu wataendelea kumpuna tu
 
Mi sishangai mbona Aki na Ukwa mi mwenyewe siwafahamu
 
Back
Top Bottom