Wema kawekeza zaidi ya bilioni 7 kwenye biashara ya vipodozi

demu one night stand ndo amiliki bilions!!!!!

kwanza akili hizo hana..yeye akisikiaga kusagana maskio juuu lkn si buashara
 
bilioni saba wehu nyie! mnajua tu kuiongea mwigizaji nadia buhari wa ghana mwenyewe kwenye akaunti yake hana hela kama hyo
 
hahahahaha na hapa sasa hakuna tena hela za magumashi za kupewa pewa watapauka dunia ya kati
 

Ivi unaelewa maana ya bilion 7??? Au unaandika tu!!???
 
movie moja kwa muhind maximum mil 5 hapo hujatoa production cost na wasanii uliowashirikisha sasa atatengeneza movie ngap hadi apate bil 7? wonder never cease hey but we are in bongo nchi ya watu wenye average IQ ya 40
 
Bilioni 7......???!!!

BonGo vituko haviishi..........!!!!!!!!!!!
 
Seriously with guts!!! Them think here is same as the popular Instagram where they wake and live fakes and lies on it!!! Them babish brains strugling to live imagnary fame lifestyles rather ze Bacongolese kinda life styles!!!!the hell 7 b!!! A beg a beg!!!by the way what cosmetics line???? Which movies??? Oops as far as am concernd am not fond of such unprofesional movies!!! This na be called Madam she needs Devine intervention!!!! Rather deliverance!!!
 
B7 mzee unaweza kuihesabu kuanzia January to December na usimalize.hvyo ni vipodozi anauza au kafungua kiwanda kabisa tena siyo kimoja

Tena kiduka chenyewe kilipo kiframe cha kawaidaaaaaaa.. mwenge nyuma nyuma huko.angeenda dar freemarket au malls zingine ningeona wa maana
 
Baadhi ya watanzania wamekuwa watu wa mizaha sana sijui kasumba hiyo imetoka wapi.Yaani comedy kila sehemu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…