Anafanikiwa bila watoto asset ya mwafirika ni watoto!!!! Aoni zari anafyatua tu.Alivyokuwa vile mlisema ni mchina sasa amepungua mnasema tena ni ugonjwa, mnataka aweje?
Wakati we unadiscuss mapaja yake yeye anaishi maisha yake na anazidi kufanikiwa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣khaKama amepungua na bei ashushe
HIV stage 3 usiwe kilaza mjombaStage 3 ya tamasha lipi mkuu?, sisi huku mkuu, tumepitwa masteji kibao sikuhizi ya matamasha mjini
Kwamba unakatwa utumbo?Hii kitu haijawahi kumwacha mtu salama. Katumbo kanabaki kadogo. Huwezi kula zaidi. Ila ubaya ni kwamba utakosa nutrients muhimu kwa limitation ya kutokula chakula kingi. Ni hatari kwakweli na hii non reversible View attachment 1282157