Freelancer Wakala
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,193
- 828
hii ya wanaume wa dar imeshakiki ila imeanzia hapa jf ni mtandao mkubw kuna mtu alianzisha uzi kusema watu hawaujui wajanja wachache wanatake advantage na kufanya yaoWEMA;asema kwa Diamond kutoka anashindwa,asema Idris a same we bure!!!View attachment 383429
Hahaha...!!!Magazeti ya namna hiyo wanasomaga wanaume wa dar na madem zao
Mimi sitaki kuskia habari za wema kwani zimeshatuchosha.
Nataka kujua huo utofauti wa Wanaume wa Dar na wa Mikoani.
Can someone give out those differences?
Pole mi mwenyew niliijua hiyo ky kupitia mwanaume wa dar maana hata nilikuwa siijui wala matumizi yakewanaume wa dar ni changamoto leo nimekutana na mwanaume wa dar insta kanitongoza ananiulza eti mimi ni mdau wa KY? dar yetu imekwisha ndo maana magufuli na serikali yake wanahamia dodoma 🙄
Teh teh teh...!!!wanaume wa dar ni changamoto leo nimekutana na mwanaume wa dar insta kanitongoza ananiulza eti mimi ni mdau wa KY? dar yetu imekwisha ndo maana magufuli na serikali yake wanahamia dodoma 🙄
wanaume wa Dar wanajielewa wanajipenda na wanajua nn wanawake wanakitakaMimi sitaki kuskia habari za wema kwani zimeshatuchosha.
Nataka kujua huo utofauti wa Wanaume wa Dar na wa Mikoani.
Can someone give out those differences?
Hahaaaa kumbe Jf mtandao mkubwa Sana asee yaani hii ya "Wanaume wa Dar" ishakiki hivo.. Asante jfWEMA;asema kwa Diamond kutoka anashindwa,asema Idris a same we bure!!!View attachment 383429
Acha kabisa, achana na mwanaume anaeshindia kipande cha muhindi, alichokipaka chumvi na ndimu....Nataka kujua huo utofauti wa Wanaume wa Dar na wa Mikoani.
Can someone give out those differences?