Wema: Kwa Diamond kutoka nashindwa

Hata kama anaishi dar huo uchafu wake kaanza kuufanyia mkoani
mtu yeyote mwenye makazi ya kudumu dar,huyo ni wa dar tuu.sifa ya mtu wa dar sio kabila.huyo ni mtu wenu msimkane.😀😀
 
Na ile audio aliyoyaongea heheheeeee

Nilifurahi sana D hakwenda kwenye partt ya Nduguye maana walipanga wamfuate wampe drama ndoa yake ivunjike

Sasa hakwenda mapicha ya kurusha insta kuwa yupo karibu nae wakayakosa...eeeeh

Diamond nakupendea pia ulivyo na kichwa haswaaa, uliwaweza.

Hadi akaishia kuyaongelea kwa audio maana si kwa alivyoringa alipokuacha Chibu, si unakumbuka mwaka juzi...ndio maisha.

Hata Idris tulijua drama tu, maana hata siku ya Bella escape one tulimuona aliingia na demu wake na hawakukaa pamoja....maisha

Diamond, Mungu azidi kuwabariki wewe na Mkewe na watoto wenu.
 
Wema kwisha kazi makunyanzi kibao mtazame kwenye tangazo lake jipya na joti. Huu ni muda WA akina Lulu. Hamisa na wengine wapya ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…