Licking Wounds
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 3,979
- 5,146
KARANJA 007Pole mi mwenyew niliijua hiyo ky kupitia mwanaume wa dar maana hata nilikuwa siijui wala matumizi yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KARANJA 007Pole mi mwenyew niliijua hiyo ky kupitia mwanaume wa dar maana hata nilikuwa siijui wala matumizi yake
mtu yeyote mwenye makazi ya kudumu dar,huyo ni wa dar tuu.sifa ya mtu wa dar sio kabila.huyo ni mtu wenu msimkane.😀😀Hata kama anaishi dar huo uchafu wake kaanza kuufanyia mkoani
Chips yaiWanaume wa Dar!
Ha ha ha haaaaaAcha kabisa, achana na mwanaume anaeshindia kipande cha muhindi, alichokipaka chumvi na ndimu....
Bora ...maana tunaandamwa sana daahwanaume wa Dar wanajielewa wanajipenda na wanajua nn wanawake wanakitaka
Wa mikoani ni wanaume uchwara msingi miguvu tuuu!!
watuachie wanaume wetu wa dar!!Bora ...maana tunaandamwa sana daah
KY ndo nini?Pole mi mwenyew niliijua hiyo ky kupitia mwanaume wa dar maana hata nilikuwa siijui wala matumizi yake
Mkuu mpaka unajua jinsi ya kuiandika mi niliikosea jinsi ya kuisndika basi na wew ni mdau wa hiyo kituKY ndo nini?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Magazeti ya namna hiyo wanasomaga wanaume wa dar na madem zao