Wema kwa "uchungu" akanusha kuhusu diamond kumuoa

Jamani mlioingia madarasani nisaidieni, I'm very westernized or I'm very western?
Vyote sawa kutegemea na muktadha.

Ni kama kusema nimevurugwa na nimevurugika.

I'm Westernized unasema umefanywa kuwa kimagharibi. Msisitizo ni -ized kwamba umefanywa kuwa hivyo.

I'm very Western unaeleza ulivyo. Uko Kimagharibi zaidi.

I'm very local. I'm very localized.

I'm very Swahili. I'm very Swahilized.

I'm very English. I'm very Anglicized.
 
Salaam.....
 
Zaidi ya nini?
Ya chochote kile kilicho katika muktadha. Kama hapo maongezi ni ya katika jamii ya Waswahili, muongeaji akisema hivyo, kwa muktadha, atachukuliwa kwamba anasema yeye anajinasaba na umagharibi zaidi ya mswahili wa jedwali la kawaida.

Sijaangalia video. Kwangu si muhimu hivyo. Kwa muktadha zaidi angalia video.
 

Kwa hiyo ina maana anasema anajinasaba na uswahili pia?
 
Kwa hiyo ina maana anasema anajinasaba na uswahili pia?
Sijui alichosema kwa sababu, kama nilivyoandika awali, sijaangalia video. Nimefafanua maneno mafupi tu yaliyoletwa.

Na mtu anaweza kusema kwa kutosema na kutosema kwa kusema, kulingana na muktadha.
 
Kwa maneno mafupi yaliyoletwa, anaposema "I am very Western" anajinasaba na uswahili pia?
Unataka kuhukumu habari za maneno marefu zinazotaka muktadha kwa maneno mafupi yasiyo na muktadha?
 
Jamani mlioingia madarasani nisaidieni, I'm very westernized or I'm very western?
Mkuu hua mara nyingi naogopa kukujibu lakini kwa kuwa umeomba clarification, here comes:

Kama tukitumia neno Western kumaanisha Uzungu (katika mila na desturi) basi jibu ni hivi.

"I am westernized" ni kwamba yeye ni M'bongo lakini ana tabia za kizungu.

"I am western" ni kwamba yeye ni mzungu (kwa mila na desturi) ingawaje anaishi bongo.

It is a mind set. Both are correct.
 
Asante mkuu
 
Ahsante
 
Unataka kuhukumu habari za maneno marefu zinazotaka muktadha kwa maneno mafupi yasiyo na muktadha?

Sawa, zinataka muktadha na wewe ndio umetupa muktadha huo, uswahili kwa sababu wahusika ni waswahili.

Nakuuliza, mswahili anaposema yeye ni "very western" anajinasaba na uswahili?
 
Jamani mlioingia madarasani nisaidieni, I'm very westernized or I'm very western?
Kwangu mimi,none of the above. Labda ungesema I am very civilised. Westernised ni neno la kutukuza Umagharibi wakati ustaarabu umeenea duniani pote sasa.
 
Kwa maneno mafupi yaliyoletwa, anaposema "I am very Western" anajinasaba na uswahili pia?
hapana hapo anajitoa katika unasaba wa uswahili ,yeye iko zungu zaidi si swahili yeye !nyambavu zake nywele ngumu pauchi sugu yule!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…