Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
Wema Sepetu amesema kwa sasa ameshamaliza tofauti zake na Diamond Platnumz na kuwa kwa sasa amekuwa Boss wake kwa kuwa amemuajiri Wasafi TV
Wema amesema hawana uhusiano wa mapenzi ila wanapeana sapoti kwenye kazi
Pia amejibu kumkumbatia Diamond ndio kulikosasababisha Zari amuache na kusema Zari alikuwa na sababu kibao za kumuacha Diamond na sio sababu ya yeye kumkumbatia
Mange amethibitisha hii stori?