Wema: Mimi na Diamond tumeshayamaliza na ameniajiri Wasafi TV

Wema: Mimi na Diamond tumeshayamaliza na ameniajiri Wasafi TV

Kuna kaneno amekasema "chemistry" sasa hapo tena unaendelea kuuliza kama kuna kitu.Pia amesema Wao ni OFF &ON katika mahusiano yao.Hawa hawawezi kuachana kabisa maana wan Chemistry kati yao
 
Hakuna kitu kwa Wema..Domo anamkubali sana hamisa, na huyo demu ndo kamfanya Zari kamwaga manyanga trust me!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu mapenzi ya kweli hayajifichi na matendo tu ndo yanadhihirisha upendo wa kweli, hivi MTU anakupenda mtapelekana polisi kwa kutotoa matunzo ya mtoto?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu mapenzi ya kweli hayajifichi na matendo tu ndo yanadhihirisha upendo wa kweli, hivi MTU anakupenda mtapelekana polisi kwa kutotoa matunzo ya mtoto?
We angalia madongo ya Zari Snapchat yanaelekezwa wapi?

Matunzo ya mtoto? Si hamisa alitaka milioni 5? Wee hata angekuwa mimi anipeleke tu mahakamani
 
We angalia madongo ya Zari Snapchat yanaelekezwa wapi?

Matunzo ya mtoto? Si hamisa alitaka milioni 5? Wee hata angekuwa mimi anipeleke tu mahakamani
Kama ulimsikiliza zari BBC alisema alikuwa anataka wajaribu kumove forward baada ya tukio la kuzaa na hamisa( means hilo la hamisa halikumuuma sana) lakn alipoona video ya wema na mond ndo akamblock mond kwa maana ile ilimuumiza zaidi ya hamisa , halafu kwani mond hana uwezo wa kutoa million 5 kwa mwez na hata zaidi? Sasa mwanaume anakupend a kweli atakataa kukupa mpaka mpelekane mahakamani?? Haimake sense shost mapenzi ya kweli ya mond yapo kwa wema Trust me na ndo MTU ambaye anakuwa huru nae kuliko MTU yeyote.. Angalia picha na video zote akiwa na wema utagundua kitu
 
Wasafi haina muda mrefu itakufa kifo cha mende
Unaajiri watu kwa sababu ya mahusuano na sio talent elimu na work experience basi wajiandae kuanza kulima mihogo na magimbi
Dua LA kuku halimpati mwewe
 
amina chifupa, adam mchomvu, mbwiga, je walikuwa na elimu gani wakati wanaajiriwa clouds ?? mambo ya vyeti peleka TBC na serikalini... kwenye business inahitaji mtu atakaeleta mapato..

Wema Sepetu ana fans wengi sana kwa tv mpya atasababisha watazamaji wapatikane wengi since day 1..

udsm wana redio na tv inaitwa mlimani... ipo miaka kibao na imejaa wasomi kila sehemu... lakini haina watazamaji kabisa sababu wanaendekeza mavyeti...

Wasafi haina muda mrefu itakufa kifo cha mende
Unaajiri watu kwa sababu ya mahusuano na sio talent elimu na work experience basi wajiandae kuanza kulima mihogo na magimbi
 
AMEZEEKA, ANGEZAA SJUI INGEKUWAJE


DUNIA INAZUNGUKA, DIAMOND KAWA BOSS WA WEMA?


AMPE KIPINDI CHA USIKU LA MALAVIDAVI TUSIKILIZE SAUT YAKE YA KITANDAN
 
Kuna kaneno amekasema "chemistry" sasa hapo tena unaendelea kuuliza kama kuna kitu.Pia amesema Wao ni OFF &ON katika mahusiano yao.Hawa hawawezi kuachana kabisa maana wan Chemistry kati yao
Sio biology
 
Back
Top Bottom