niandikie tena niende sasa hivi
Kama sio 50 ni 49Duuuh miaka 50 mnamsingizia dada wa watu
[emoji3] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] yule daadaa!Nenda insta mtafute kwa hilo jina..ana siri zote za zaituni kiligwaijo na fact juu!
Ukitaka kujua ufake wa zaituni nenda kwenye ile page!
Duuuh adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzakeKama sio 50 ni 49
Sisemi urongoDuuuh adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzake
Mpe salamu Gaude kabisa na mama yake hawa wapuuzi wengine ni hatari mkuuKwa sasa habari ya mjini ni mimi na Mama Gaude, hao wengine zilipendwa tu.
Ukweli wote uko pale[emoji3] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] yule daadaa!
Acha kabisaaUkweli wote uko pale
[emoji1] [emoji1] [emoji3] [emoji1] [emoji3] [emoji3]Kama sio 50 ni 49
Wema ana mimba ya Diamond, bi Tukinao ameshasema yeye kuzaa basi.
Hamisa na Wema haziivi kabisa sasa hivi.
My take wote wawe na afya njema lakini katika hii chain kama kuna mwenye HIV, mbona mjini patakuwa padogo.
Ata kama la kupangwa ndio kwa X wake????Diamond hawezi kufanya jambo bila kusindikiza na kiki...ilikuwa lazima lifanyikeke jambo ili lengo lake litimie...
Sitashangaa kusikia Wema alilipwa kutengeneza hiyo kiki.
Diamond sio mjinga kiasi hicho kufanya tukio kama lile tena hadharani huku camera zikimchukua.
Sina shaka kuwa lile ni tukio la kupangwa.....
Mama chibu atakua na 70 kma zari ana 50,ila nlichogundua watz hawampendi zari istoshe chibu hana mwanamke wote mademu zke ni wadangaji tupuSisemi urongo