Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Hiyo ya kuomba msamaha ilinipita
Ninachojua tu lemutu alidai alitukanwa kuwa ANANUKA MDOMO hahahahahahahahah
Ila.mati kawa na adabu.....maana dah walizidi kutukana viungo vilivyowaleta duniani
Ingawa na le mutu nae kujiingiza kwenye mambo ya wanaeake mmmmh
Hahahah nitafungwa na le baharia? Kwa hiyo nitakuwa maarufu insta?
Itabidi nipige nae picha selo
Hahahaha kweli huyu jamaa ni mchokozi sana na ana matusi!
Msome hapa Lemutuz
"- Well, jana nzima nilikuwa Mwanza kwenye Instagram Party ambayo tumeweka record ya wananchi 5,000 waliojitokeza kuitikia mwito, so ndio kwanza nimerudi bongo maneno yako ni upotoshaji mtupu ukweli ni kwamba:-
1. Baaada ya kifo cha Betty ambaye kifo chake kunasaidikiwa kuchochewa na Cyber Abuse niliamua kuchukua initiatiave za kutaka kujua chanzo cha hili tatizo na kamba linaweza kupatiwa dawa, ni kweli nilionana na Cyber Polisi na Wakuu wengi wanaohusika na hii sekta Tanzania.
2. Majuzi kuna mtu alikamatwa baada ya kumtukana sana mtu mwingine ambaye alikuwa na akili za kwenda polisi na kutoa ushahidi kamili ambao uliishia kumnasa mtu huyu aambaye amekuwa akitukana sana Ma-Super Star karibu wote Tanzania bila kujali nani ni nani mpaka anakamatwa alikuwa amewatukana wengi including me.
3. Polisi wa Cyber walinifahamisha kuhusu kunaswa kwa mtu huyu na kunitaka niende kituoni, nilipokwenda kituoni nikashitushwa sana na yote niliyoyaona kuanzia nje ya kituo hasa waliokuwa wamekuja kumtetea yule mtu na wakipigana sana kumtoa kwa dhamana, binafsi pia alikuwa amenitukana sana lakini sikuona sababu ya kufanya anything kutokana na kumuona mtu mwenyewe anavyofanana.
4. Yule mtu kesho yake aliamua kusema ukweli mwingi sana kuhusiana na kazi yake hiyo ya kutukana watu asiowajua mitandaoni, ukweli ambao mpaka leo nashindwa kuuamini kutona na kuwajumuisha watu wengi niliokuwa ninawaheshimu sana kwamba kumbe wana tabia za kuwanunulia simu watu masikini wasiokuwa na uwezo na kuwanunulia bundle za internent ili wawatukane wasio wataka, na ili wawatukane wale wote wanaoshirikana na maaudi zao.
5. Kwa kweli yule mtu alisema mengi sana na aliomba sana radhi na msamaha kwa wote aliowahi kuwataukana na kuahidi kwamba hatarudia tena, so from there nikajifunza one lesson kwamba huyu mtu masikini wa Mungu ameonewa bure tu kwa sababu ya umasikini wake nikarudi Cyber Polisi na kuwaomba kuwakutanisha wale wote waliotajwa na huyu mtu ili wawapatanishe na kuwepo na amani baina yao kupunguza hivi vurugu kwenye mitandao ya kijamii.
- Otherwise mimi as me I make big money from mitandao na Isntagram iikiwa one of them pamoja na mtandano huu pia wa JF nao unanisaidia sana kutengeneza money, na nimesema siku nyingi sana kwamba biashara kama yangu ya mitandao ni kama biashara ya utumbo haikosi harufu so unapima uzito wa harufu na malipo bado malipo yanazidi harufu kwa mfano jana Mwanza tumefanya Instagram Party matokeo yamekuwa historia kubwa sana wananchi 5,000 walijitokeza, na hawa wote wananifahamu kutokea kwenye hiyo hiyo Instagram na JF kwa sababu kila dakika moja ilikuwa ni lazima mtu aniombe ku[piga picha huku akisema ananifuatilia from JF au Instagram,
- So naamini unaiona my point kwamba mimi unaweza kutukana as much as you want ila nakuhakikishia kwamba hupungzi anything in my life infact unazidi kuniongezea umaarufu, jana nilipofika Mwanza Tajiri mmoja mkubwa sana wa kule aliponiona Airport ya pale akaniomba sana niende nyumbani kwake maana mke wake ananipenda sana from Instagram nikaenda na nikakutana naye she was very happy,
- Mimi nipo kwenye Mitandao almost for the last 20 years now najua how this game works na wala sina wasi wasi na lolote I just sit back na kupima nini cha kujibu na nini sio cha kujibu katika kusimamia my interest. Kwenye Mitandao ninawatangazia biashara za Makampuni makubwa kama Airtel na Vodacom, wale wakiamini kwamba unachotukanwa ni kweli wanakukata mara moja kwenye pay roll yao, sasa ni miaka 3 nipo nao kuacha makampuni mengine mengi makubwa ninaofanya nao biashara online, so naomba kukwambia kwamba maneno yako juu hayana ukweli wowote lakini nakushukuru tu kwa kuniongezea umaarufu ambao unaishia kunilipa na kuniletea heshima kubwa sana NA WALE walio muhimu sana kwa maisha yangu ya kila siku, so wasiokuwa muhimu kwenye my life ya kila siku mna haki ya kusema kama mnavyofanya ila nawaambia kwamba nia na lengo lenu la kuniharibia toka muanze hamjafanikiwa na wala hamtafanikiwa kwa sababu watu wanahukumu baada ya kumuona mtu mwenyewe so watu wanasoma ujinga humu wakiniona wanajionea mtu ambaye wala hafanani kabisa na haya maneno ninazidi kupata kiki, so please keep on doing it mnanisaidia saana!!
- NA SASA THE NEXT INSTAGRAMNA PARTY NI MBEYA IN 2 WEEKS SO GET READY TUPO KWENYE TANZANIA TUOUR 2014"
Le Big Show