Wema: Napenda mwanaume anayepiga

Ndiyo hivyo mwanaume gani mdebwedo hata mkewe hajaonja mapigo yake ?
Lazima kawepo kakofi kakuzugia kidogo ila asigeuze ngoma tu
Hahaaaa eti kakuzugia
 
Mwanamke anakutukana alafu unaishia kumwambia " Sawa asante ,mimi sisiemi"0[emoji3][emoji3]
 
Ndio maana nchi za Ulaya domestic violence haziingiliwi na Polisi,Polisi wanfika sehemu ya tukio kama wapatanishaji tu,Kuna kesi nyingi za domestic violence wanawake wanawageukia polisi,mahakamani
 
Aende hapo kitunda kuna wakurya wa kumwaga , atapata anachokitafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…