Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Kweli kabisa mkuu..kuna jamaa alitukanwa nadem mbele yetuInabidi ununue skirt na blouse umuunge mkono tu
Usitegemee kutopigwa kama umejaa upuuzi na maudhi .Sijawahi kusubiri kupigwa hata siku moja na kwanza maisha ya kupigwa pigwa sipendi kbs
Tena makofi yatakayomjengea heshima hata mbele ya wanaume wengine yatakayomfanya akupende na kukuheshimuKweli kabisa mkuu..kuna jamaa alitukanwa nadem mbele yetu
"Mwanaume suruali ,kibamia wee"..alafu jamaa akaishia kusema "sawa tu"[emoji3][emoji3]
Tia.makofi baadae akuombe msamaha.
Kabisa kabisa hapo unaua ndege wawili kwa jiwe moja.Tena makofi yatakayomjengea heshima hata mbele ya wanaume wengine yatakayomfanya akupende na kukuheshimu
Ustawi wa jamii au polisi?Mwanamke hajui anachotaka, ukimpiga jiandae kwenda ustawi wa jamii...
Yeah ila usiwe kama unapigana na mwanaume mwenzio.Kabisa kabisa hapo unaua ndege wawili kwa jiwe moja.
Mie nilishajiapia, Demu akileta uzinguaji wakijinga, ni makofi makofi makofi
Maisha haya km unaona mwenzio kakosea unamuelewesha tu kwsbb ipo siku hata ww utakosea, je upigwe na ww? Mambo mengine ni kutengeneza chuki pasipo na ulazima.Usitegemewe kupigwa kama umejaa upuuzi na maudhi .
Hautopigwa km unajielewa nakuelewa mipaka yako.
Mwisho atasema anampenda weza kudiindisha..!MREMBO wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu ametoa kali ya aina yake kuwa, katika maisha ya uhusiano, anafurahia kuwa na mwanaume ambaye atampa kipigo kidogo pale anapokosea. Mwanadada huyo aliyasema hayo hivi karibuni kwenye sherehe ya kuzaliwa ya meneja wake, Neema Ndepanya iliyofanyika nyumbani kwa Wema, Salasala jijini Dar ambapo aliulizwa na Ijumaa Wikienda kuhusu aina ya mwanaume anayependa kuwa naye
ndipo alipotoa ya moyoni.“Napenda mwanaume anipe kipigo kidogo siyo mwanaume mnaishi miaka yote, halafu hata kukupiga kofi kidogo hakupigi,” alisema Wema huku akiangua kicheko cha kiaina.
Kweli mkuu tena police wakija ni kutuliza ghasia tu na kubembelezaNdio maana nchi za Ulaya domestic violence haziingiliwi na Polisi,Polisi wanfika sehemu ya tukio kama wapatanishaji tu,Kuna kesi nyingi za domestic violence wanawake wanawageukia polisi,mahakamani
Ndio kabisa naelewa hapa unawapa kofi za "Usirudie ujinga wako"Yeah ila usiwe kama unapigana na mwanaume mwenzio.
Makofi yazingatie kuonya na siyo kuumiza
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu makosa ya kuelezana yanajulikana mbona na yako wazi kabisaMaisha haya km unaona mwenzio kakosea unamuelewesha tu kwsbb ipo siku hata ww utakosea, je upigwe na ww? Mambo mengine ni kutengeneza chuki pasipo na ulazima.
Hv unapompiga mwenzio unategemea atakupenda tena km mwanzo?
Hahahhaha basi sawa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu makosa ya kuelezana yanajulikana mbona na yako wazi kabisa
Nampaka nakupa Kofi, maana yake nimeona unastahili kuonywa kwa kofi.
Basi.
Sasa hao wa kanda maalumu ungewaweza ?Mimi haku vipigo siwezi wengine tu wadhaifu sasa tukipigwa ni shida huko si ndo kuvunja mahusiano. Mahusiano ya kuumizana sio mahusiano
Hahaaaaaa hafu saa nyingine huwa tunawachokoza kuona reaction zenu tu ka hzoYeah tena huwa vinaimarisha mapenzi.
Ukichapwa unaenda kujificha jikoni unacheka [emoji23] [emoji23] [emoji23]
BrotherNi kweli namuunga mkono.hata Mimi mke wangu nampiga kidogo wanaume wadhaifu ndo hawawezi kufanya hivyo wanajishtukia
Walinishinda aisee maana wana hasira za kuunguruma aisee, mwenyewe kibao siwezi vumilia kicje niua bureSasa hao wa kanda maalumu ungewaweza ?