Wema: Natamani nikutane na Diamond tuyamalize, ila …..

Sasa unaongelea kutaka kuyamaliza na mtu, then hapo hapo unamwita ni mswahili!

Kick hizi.

Wema hajasema anayamaliza ili Diamond awe malaika. Na wala hajasema anayamaliza ili uswahili wa diamond uishe. Na Ninaona hapa wewe ndiye mswahili wa kumpaka mtu mgongo wa chupa kwamba amwite malaika kwa kuwa wanataka kuyamaliza wakti si mstaarabu ni mswahili. Unafiki gharama kuliko utumwa.
 
Yeye kamahanataka kumfolow huyodimondbora wakamalizahanehuko ukosisihayaha tuhuusukabihisa.
 
jipeni Moyo tu
 
Mkuu kwa wema alikaa nae muda mchache lakn alishatangaza hadi ndoa kwa kumvisha Pete and what about zari, mpaka kamzalia hadi mtoto maskin ya mungu hajaonyesha hata dalili ya kumuoa basi hata kupropose tu ,ndo kwanza anamuhimiza kutoa mimba ya pilu
Siku zote mkiishi kwa kick hamuwezi kuwaza kile kinachowezekana kutwa mtawaza ujinga tu
 
hapa harudiw mtu
 
Wema anakula mishkaki kwa kigogo wake sasa achebi huyo mondi
 
Huyo naye mmmmh, hana mengine ya kuongelea bila Simba hana maisha. Ndio tabu ya kuacha umpendaye kwa kutafuta kiki hiku rohoni na moyoni unaliali kila siku majuto. Akwendreeee zake
 
Mkuu kwa wema alikaa nae muda mchache lakn alishatangaza hadi ndoa kwa kumvisha Pete and what about zari, mpaka kamzalia hadi mtoto maskin ya mungu hajaonyesha hata dalili ya kumuoa basi hata kupropose tu ,ndo kwanza anamuhimiza kutoa mimba ya pilu

Unajua makubaliano yao? Sio kila wanaoishi pamoja lazima wafunge ndoa.
 

Basi sawa.
 
Wanapendana hao. Mtu ukimpenda huishi kumfatilia. Hlf unaumia zaid akiwa n m2 aliyekupita kila ki2. Nawaonaga maex wa mume wangu wanavyohaha.
 
Wema alivyokuaga na diamond,alijua diamond anatoboa kupitia yeye,na walipozinguana alisubutu kusema jamaa hawez bila yeye,ndipo neno la kiki lilipopatia umaarufu,lkn ndo hivyo,diamond kwa alipo sasa hakuna mwanamke ambae atatongozwa akatae sababu wanawake wengi wanapenda mwanaume mtafutaji na mwenye kujielewa,,
Wema kwa sasa hatopata mwanaume kama diamond tena kwenye maisha yake,wema anamaisha ya maigizo sana,kama ni mwanaume unaejielewa na mtafutaji huwezi kutoa kila week milion 2 za kusukia na miliona 2 za mkeo kulia bata kila weekend na mashoga zake,.

Mfano mdogo tu ni kwa CK,alitumia nguvu nyingi sana kuhonga na wea alikua nakiburi hatari,diamond akifanya hivi yeye anajibu hijibu,mara wema akawa na magari ya maana,audi n.k. ukitaka kujua diamond anaijua pesa,,angalia alipokua na wema alimfanyia mambo gani ya kutumia pesa,pia kumbuka hata ile Lexus yake aliyopewa na diamond,nikwamba gari ya wema iliuzwa then ikaongezwa pesa kidogo ndo ikavutwa ndinga ingine,

Diamond anaishi simple sana,angalia yeye anawekeza kwenye nyumba tu,hata ile bmw alipewa kama zawadi tu,.zaidi anatumia Lexus ya mama mzazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…