Sasa unaongelea kutaka kuyamaliza na mtu, then hapo hapo unamwita ni mswahili!
Kick hizi.
Ukitaka kumloga mwanaume anae jielewa we mzalie mtoto.na ndio hapo wema alipopigwa gepu na zari.pia wanaume wengi hatupendi wanawake feki tunawachukuliaga wakuwagonga na kuwaacha kama mlivyo.Ukweli ndo huo mkuu , true love never end
jipeni Moyo tuMaskini Zari[emoji134] kwa inavoonekana Kama diamond alifanya vile ni kwamba alifanya kwa sababu Ana hasira na wema na MTU ukiendelea kuwa na hasira na X wako it means bado unampenda, nina imani wema akitaka kurudiana na diamond diamond haweza kataa.. Maskini Zari[emoji14] [emoji14]
Siku zote mkiishi kwa kick hamuwezi kuwaza kile kinachowezekana kutwa mtawaza ujinga tuMkuu kwa wema alikaa nae muda mchache lakn alishatangaza hadi ndoa kwa kumvisha Pete and what about zari, mpaka kamzalia hadi mtoto maskin ya mungu hajaonyesha hata dalili ya kumuoa basi hata kupropose tu ,ndo kwanza anamuhimiza kutoa mimba ya pilu
Kigogo bado unampaisha,sema bonde la mto msimbazi,kule sukita.Yani Diamond akimuacha Zari na kurudi kwa Wema ni sawa na ukatoka kuishi Masaki na kuhamia Kigogo.
hapa harudiw mtuNani ambaye alikuwa hayajui mahusiano ya Wema Sepetu na Diamond? Hakuna ila yalikuja yakazima ghafla kama mwanga wa mshumaa, kila mtu akaendelea na maisha yake lakini vita ya mashabiki wao haijaisha kiasi cha wao wenyewe kushindwa hata kupeana support.
Hali hiyo imemchosha mwanadada, Wema Sepetu ambaye ameamua kutoa ya moyoni, amesema anatamani kuonana na Diamond wazungumze wamalize tofauti zao.
“Na nnatamani, one day tuweze hata tuka kaa hivi tukaongea nikamwambia bwana embu tuondokane na mambo haya yote whatever it is me nitakusupport, wewe ukinisupport wala usiponisupport sababu yule naye mswahili sana” Wema Sepetu alifunguka
Mbali ya kutaka kuyamaliza Wema amefunguka kuwa bado kuna kutoka kwa Diamond ambaye amedai kuwa bado anampinga kwenye mambo mengi, ametolea mfano jinsi Diamond alivyotaka kufanya kumpokonya ukumbi wa King Solomon kwa kutaka kulipia siku moja ambayo na yeye amepanga kufanya show kwenye ukumbi huo,
“Me naandaa hii show ya Christian Bella, nimepata ukumbi pale King Solomon sawa, yule mtu wa King solomon nimefika pale, tumeshaongea bei ya ukumbi na kila kitu nikamwambia mimi hapa nitakuja kulipa jumangapi jumatatu, tumeongea ilikuwa Ijumaa, Jumamosi naongea na yule mtu wa King Solomon, Jumatatu naenda pale naambiwa hivi, naambiwa kwamba Diamond anataka kuuchukua ukumbi kwa tarehe hiyohiyo tisa unaona, nikamwambia hivi, nikamwambia hivi ye anataka ku’host party? akanambia nimemwambia ukumbi umechukuliwa akaniuliza na nani, nikamwambia kachukua Wema, akanambia me niko tayari kupanda dau, Unaona” Wema aliendelea kuelezea “Mwisho wa siku me namchukulia Diamond kama mtu ambaye amekuwa kimuziki lakini yeye ki’personality bado”
Hata hivyo Wema amesema kwasasa hawezi tena kurudiana na Diamond, amedai kuwa kwasasa anamuona kama icon wa muziki wa Bongo tu.
mnyamweziKabila haliendi kwa mama, yeye ni Mzanzibari
Kigogo bado unampaisha,sema bonde la mto msimbazi,kule sukita.
Mkuu kwa wema alikaa nae muda mchache lakn alishatangaza hadi ndoa kwa kumvisha Pete and what about zari, mpaka kamzalia hadi mtoto maskin ya mungu hajaonyesha hata dalili ya kumuoa basi hata kupropose tu ,ndo kwanza anamuhimiza kutoa mimba ya pilu
Kiki at work.Sijaelewa hii habari
Yeye kamahanataka kumfolow huyodimondbora wakamalizahanehuko ukosisihayaha tuhuusukabihisa.
Wema hajasema anayamaliza ili Diamond awe malaika. Na wala hajasema anayamaliza ili uswahili wa diamond uishe. Na Ninaona hapa wewe ndiye mswahili wa kumpaka mtu mgongo wa chupa kwamba amwite malaika kwa kuwa wanataka kuyamaliza wakti si mstaarabu ni mswahili. Unafiki gharama kuliko utumwa.