Jamani nimecheka hatari eti kituo gani au radio ganiAlikuwa Anaongea na mtangazaji wa kituo gani cha tv? Au redio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani nimecheka hatari eti kituo gani au radio ganiAlikuwa Anaongea na mtangazaji wa kituo gani cha tv? Au redio?
Mwanadada Wema akiongea na kipindi kimoja cha redio leo mchana alipoulizwa yapi maoni yake kuhusu wimbo mpya wa Salome alisema wimbo ni mzuri sana na alitakiwa kufanya video lkn ilibidi walipe mil 75 kama gharama za yeye kutokea kwenye video lkn WCB walitaka kutoa mil 50 ndipo aliposhauriana na uongozi wake na kuamua kukataa.
"Ni kweli ningetokea kwenye video hiyo lakini walitoa pesa madafu,kaka mtangazaji siwezi kuuza sura kwa mil 50,ebu fikiria nimetumia karibia bilioni kutengeneza jina langu,nina biashara za mamilioni,leo Nassib anataka kunipa mil 50,that is not fair kwa kweli"
Mdau yapi maoni yako kuhusu gharama za huyu mlimbwende?
Bado hela ya shooting........ina maana wanjera alipewa bei ganiDuh bongo hii watu wanahela mhh..!yani mil50 zinatajw kimasihara tu.
Acha kabisa .....kwa mwaka akitokea video mbili .....anakesha baa mpaka mwaka uishedah kumbe hii biashara ina hela hvyo yaan video queen anakula pension ya mwalim kabisa