Hahaha wakati anajichira tatuuu alikua kijana uzee umekuja baadae sanaMzee kajichora tatuuuuuu hahahahaah
hana adabu kabisa yeye na wanaume woote wanaotelekeza watoto....
halafu lijitu linabofya keyboard kusema baba ni baba... baba si kutia mimba tumboi kwa mwanamke
wakati wa ujana mnawapa wanawake mimba halafu mnawakana, tena hata hapa jf mpo mtu unakuta anawatoto kibao nje ya ndoa wengine wa mahousegirl wengine sijui wa ma bar maid mnawakataa na kuwakana kwasababu mnajua hizo mimba hazimo miilini mwenu........... huku mbeleni ndo mnaanza kumbwelambwela na ninyi ndo wa kwanza kuwatukana single mothers ...mnajiona wajanjaa
kama baba dai angalikuwa ni mjomba wangu hakuna rangi ningeacha kumuonyesha
namshukuru baba yangu alinilea kwa kipindi kifupi cha maisha yangu lakini mpaka leo hii bado nakumbuka raha za kuwwa na baba mungu amlaze pema peponi ni miaka 28 sasa tangu umetutoka na tunakukumbuka daima hakuna raha sikupata tz hii....... i thank you dadyyyyyyyy
baba dai hana watoto wengine ?aliowapata ujaniani wakati anakula raha ?
usinichefue kama umeacha mtoto ukamchukue kama nimekukera soma uzi za wengine konyo zako wewe yani nimekutukania ukoo mzima uzinizoee kabisa ...........mchewwwwwwwwwwwww tuzo kampe bib......... yakoMbona maneno kibao mpendwaa...
Ni mtazamo tu, hatutafuti tuzo hapa.
Baba Diamond, pole . Kufanya mashambulizi ya mwanao kwenye media haikusaidii. Tafakari ulikosea wapi badala ya kutaka huruma ya public usiyostahili. Kihekima rudi kimyakimya kwa mzazi mwenzio na mwanao myamalize, nyinyi ndio mnamajibu sahihi. Ushauri kwa wengine wanaosema baba ni baba, HAPANA! Siku hizi vijana mmekuwa mkiwadanganya binti zetu nitakuoa ukila tunda unamwambia binti wa watu msijuane! Fikiria kahangaikaaa na mwanawe ikifika saa kumi na mbili jioni umekwama ndio unasema baba ni baba, aibu kwako! hata mbwa anathamani kuliko baba wa hivyo.
hahahaha fanyeni hivyooooooooooooooo ili mkome kuacha watoto wenu hahahanaona unaleta maigizo ya kinigeria.
ngoja tuandae shoo ya singeli pale dar live itajulikana kwa jina la 'saidia baba diamond apate matibabu' ndiyo mtatia akili
ngoja tufanye booking ya ukumbi.hahahaha fanyeni hivyooooooooooooooo ili mkome kuacha watoto wenu hahaha
haya fanyeni tutachanga i hope hata dai anaruhusiwa kuchanga hahahaha kama wenginengoja tufanye booking ya ukumbi.
aje kwenye shoo kiingilio chake ndiyo mchango wake.haya fanyeni tutachanga i hope hata dai anaruhusiwa kuchanga hahahaha kama wengine
Kunatatzo la kimaadili kubwa kwa dimond, mm si muumin wa mziki ila nmekuwa nakutana na hii scandal ya mtt na baba, kimsingi hata kama baba alikosea vip akakukana akakuacha ukatesek Kwa kila namna bado Baba ataendelea kuwa baba tuMimi nafikiri Baba yake Diamond ni mtata sana, labda ndio maana aelewani na mtoto wake - kama mzazi kwa nini atafuti njia ya kistaarabu ya kumaliza tofauti zao - haya mambo ya kukimbilia wana habari, kupiga piga picha kumlalamikia mwanae anafikiri kutamsaidia nini - si ndiyo kutawafanya Diamond na mama yake kukasirika zaidi?
Yeye anazungumzia upande wake tuu - mbona watu/waandishi awaendi kwa Diamond na mama yake wakasikia wana malalamiko gani kuhusu mzee huyo - siyo vizuri Baba yake kila siku kutafuta sababu za kumdhalilisha mwanae.
ungekuwa karibu ningekupa zawadi umeongea point sana lakini basi uko mbali ni vidole ndo vimetype ila umetoa somoBado nasisitiza hii ni ishu ya kifamilia na kwakuwa ni Diamond
Huku mitaani kuna worst cases kuliko hii...kuna watu wako hoi hasa wako kwenye hospitali zetu huyo mzee daily yuko kwenye vyombo vya habari...tuwe watu wa tafakuri
Baadhi hapa wanajifanya kumuonea huyo mzee huruma na kumlaumu Diamond wakati nao wana vimeo kama hivyo kwenye familia zao....nasisitiza Tujitafakari
daudi umetoka liini kule kwenye siasa na kukimbilia huku hahahaahaaa jokesKivipi yani?