Wema: Nitalipa pesa matibabu ya baba Diamond

Wema: Nitalipa pesa matibabu ya baba Diamond

Kwani huyo dingi wakati anaikimbia familia anaenda kula maisha na dogodogo aliua hawazi kuna siku nassib atatoboa....??? Huyo wema tabia zake nani hasiyemjua saiv atakua anataka kutembea na huyo mzee sema alikosa njia.

Maana katembea na diamond akaingia kwa marafiki wa diamond saiv anaenda kwa huyo dingi
 
Lakin jaman ttzo letu ushabiki ndo unatuathiri sisi hv ni jambo gani akufanyie mzazi wako usindwe kumsamehe ? Kumbuka the matter is Your parent. No otherwise. mtu una miliki Tsh billion 8 yaan million 8000 ukitoa 50 ukampa baba ako then kama ni cool ukawa kulu na maisha yako huon kuwa ni kheri. jaman mi mkristo ndgu zangu waislamu tafadhal kuruani takatifu inasemaje kuhusu hili.
 
Huwa nikiwaona mama zetu wanavohangaika na biashara ya kutembeza matunda, wengine wakiwa na watoto wachanga mgongoni... Jua kali... Matunda ambayo hata ukiyanunua yote haya cost Tsh 10000... Halafu lbd mme yupo na anauwezo,... Acha yawe ya ngoswe... Hakuna namna.
Kabisaa yawe ya Ngoswe koz hatujui aliyoyapitia Diamond mpaka kufanya hayo anayoyeswa anafanya kwa baba yake. Kiatu cha mtu kukivaa ni ngumu kukutosha
 
Dada wema kama kweli umeguswa moyo wako kutoa msaada kwa ba diamond naomba toa msaada .
Usikubali kukatiswa tamaa na MTU yeyote juu ya uamuzi wako juu.hapa jf kuna watu kazi hao ni kukushambulia tu kwa maneno mabaya bila sababu ufanye zuri ni shida ,ufanye baya ni shida. ukiacha itakuwa umeonyesha udhaifu mkubwa sana.utasemwa sana Mara oh unajipendekeza Mara hivi .usiyajali yote hayo wewe toa msaada wako utabarikiwa na Mungu[/QUOTE]
 
We acha tu kusema wa mama wanateseka sana kuwaachiwa na watoto na wanaume .Unazaa mtoto na mwanaume ukimfuata akupe ingalau hela ya maziwa tu anakujibu sitambui kinyago chako pita hivi tena ukiendelea kunifuata na kuchinja pamoja na kinyaogo chako na hali anajua ni mwanae kabisa akupi hata mia wala hataki hajawahi kumwona mtoto na wala haitaji .Mama anapambana katika hali zote mtoto anakua kwa shida na kusoma kwa shida mwisho mungu anambariki kuwa na kipato mara baba anatokea ghafla anataka mtoto huyu huyu amsaidie jamani ndugu zangu msirahishe mambo inauma sana huu ni mfano hai wengine yametutokea inahitaji Neema ya mungu kusamehe hivi hivi kibinadamu huwezi.
 
Lakin jaman ttzo letu ushabiki ndo unatuathiri sisi hv ni jambo gani akufanyie mzazi wako usindwe kumsamehe ? Kumbuka the matter is Your parent. No otherwise. mtu una miliki Tsh billion 8 yaan million 8000 ukitoa 50 ukampa baba ako then kama ni cool ukawa kulu na maisha yako huon kuwa ni kheri. jaman mi mkristo ndgu zangu waislamu tafadhal kuruani takatifu inasemaje kuhusu hili.
Kaa kimyaaa!!!ndo muache kutelekeza watoto!
Mondi Fanya yako
 
matusi kwa maana ya kumdhalilisha diamond maana kwa pesa alizonazo hashindwi kumtibu mzee wake hvyo wema anamfundisha kusamehe haswa pindi wakati wa shida mzazi ni mzazi tu msaidie kama unavyosaidia wengine na kusamehe pia

Wema ana sifa ndio tena za kijinga anasaidia watu maarufu tu[emoji57] [emoji57]hizo pesa si akatoe sadaka kwa wayatima!!
kama bin laden ana pesa amsaidie baba ake.
 
Baadhi ya Wanawake wanajua sana mchezo wa kuwatenganisha baba na watoto! !
Sijui wanapata faida gani zaidi ya kudhirisha roho zao mbaya!!
.....Mie nafahamu, hakuna laana mbaya kama ya Baba....japo wengi hawafahamu hili!

Ati laana ya baba Ni mbaya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hii mpya hebu jaribu kutafuta laana ya mama Halafu urudi hapa

Wanaume wanatia aibu kukimbia watoto zenu ujanani huwa mnajiona wajanja kweli ikiisha fika miaka 48-50 na huko mbele mbio zinaisha Wanalazimisha kufuta yote waliyoyafanya kwenye kutimua mbio wanataka iwe Kama hakijatokea kitu kikubwa hivyo mambo yaishe tu,

Msiongee Sisi wanawake tunajua kuwatenganisha baada ya nyie wanaume kusisitiza utenganisho huo kwanza. Nguvu zikiwaisha uzeeni mwendeni mkawafuate wale watoto mliowalea mtuache na watoto mliojitenga nao Kwa kauli zenu , vitendo vyenu na haja za mioyo yenu.

Baba Diamond anawatia aibu wanaume wote wanaofanana nae. Shame on you [emoji23][emoji23]
 
Ati laana ya baba Ni mbaya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hii mpya hebu jaribu kutafuta laana ya mama Halafu urudi hapa

Wanaume wanatia aibu kukimbia watoto zenu ujanani huwa mnajiona wajanja kweli ikiisha fika miaka 48-50 na huko mbele mbio zinaisha Wanalazimisha kufuta yote waliyoyafanya kwenye kutimua mbio wanataka iwe Kama hakijatokea kitu kikubwa hivyo mambo yaishe tu,

Msiongee Sisi wanawake tunajua kuwatenganisha baada ya nyie wanaume kusisitiza utenganisho huo kwanza. Nguvu zikiwaisha uzeeni mwendeni mkawafuate wale watoto mliowalea mtuache na watoto mliojitenga nao Kwa kauli zenu , vitendo vyenu na haja za mioyo yenu.

Baba Diamond anawatia aibu wanaume wote wanaofanana nae. Shame on you [emoji23][emoji23]
hana adabu kabisa yeye na wanaume woote wanaotelekeza watoto....
halafu lijitu linabofya keyboard kusema baba ni baba... baba si kutia mimba tumboni kwa mwanamke

wakati wa ujana mnawapa wanawake mimba halafu mnawakana, tena hata hapa jf mpo mtu unakuta anawatoto kibao nje ya ndoa wengine wa mahousegirl wengine sijui wa ma bar maid mnawakataa na kuwakana kwasababu mnajua hizo mimba hazimo miilini mwenu........... huku mbeleni ndo mnaanza kumbwelambwela na ninyi ndo wa kwanza kuwatukana single mothers ...mnajiona wajanjaa

kama baba dai angalikuwa ni mjomba wangu hakuna rangi ningeacha kumuonyesha

namshukuru baba yangu alinilea kwa kipindi kifupi cha maisha yangu lakini mpaka leo hii bado nakumbuka raha za kuwwa na baba mungu amlaze pema peponi ni miaka 28 sasa tangu umetutoka na tunakukumbuka daima hakuna raha sikupata tz hii....... i thank you dadyyyyyyyy


baba dai hana watoto wengine ?aliowapata ujaniani wakati anakula raha ?
 
Hii ni habari ya kweli, kweli?

Tuseme ni ya kweli, busara za Wema ziko wapi hapo?

Kwa nini atangaze kuwa atamlipia matibabu yake?

Kwa nini asingefanya tu kimya kimya?

Au wote yeye huyo anayedaiwa kuwa ndo baba Diamond na Wema wanatafuta kiki kwa pamoja?

La sivyo sioni kabisa hekima wala busara za kujiingiza kwenye masuala ya kifamilia.
 
Mzee na matatoo ....wazee wa Mujini.....Mwanaume kuhangaika daima sio kulialia kisa mtoto mambo poa...

[HASHTAG]#WABABA[/HASHTAG] WA DASLAM HAWA#
 
Hizi ni family issues zina mizizi na mlolongo wa matukio tusishadadie tusiyoyajua tusiwe na upande bali matukio kama haya yatupe nafasi ya kujifunza na kujitafakari

Mshana umeandika vema kabisa TUJITAFAKARI maana hizi mbio za kukimbia majukumu ya ubaba hazina medali [emoji966][emoji966][emoji954][emoji954]
 
Kivipi yani?
Baba Diamond, pole . Kufanya mashambulizi ya mwanao kwenye media haikusaidii. Tafakari ulikosea wapi badala ya kutaka huruma ya public usiyostahili. Kihekima rudi kimyakimya kwa mzazi mwenzio na mwanao myamalize, nyinyi ndio mnamajibu sahihi. Ushauri kwa wengine wanaosema baba ni baba, HAPANA! Siku hizi vijana mmekuwa mkiwadanganya binti zetu nitakuoa ukila tunda unamwambia binti wa watu msijuane! Fikiria kahangaikaaa na mwanawe ikifika saa kumi na mbili jioni umekwama ndio unasema baba ni baba, aibu kwako! hata mbwa anathamani kuliko baba wa hivyo.
 
Back
Top Bottom