Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada kahaba hilo kila siku Mpya ukimwi utamhusu tu
Ubarikiwe kwa ushauri nzuri Sana, big upShe is too late to catch the flight, Opportunity is like a window that only stays open for a while, WEMA baby girl umechelewa, Hakuna Ndoa hakuna steady relationship, kichwa mbovu umesomeshwa vizuri ushamba umekusababishia uishie kuwa Jamvi la majaribio, huonekani kujifunza, lazima kuna shida, bahati mbaya sioni kama unayo maturity ya kutafuta solution. Huna confidence kwako maisha ni sex tu, kama vile huna viungo vingine, kichwa hakipo wala uso wa haya haupo. Mange Kimambi once gave you a powerful advise, alisema WEMA TULIA! utapata mume wa hadhi yako akimaanisha walau wa umri wako, you are not young anymore ni bibi bomba wewe sasa hawa wadogo zako waache wakajifunzie kwa vijana wenzao, wewe - too old nilifikiri habari ya vigoma ingekutoa kwenye hizo old habits, huna biashara, huna shughuli, hizo lipstick zingekua zinatoka si ungeshafungua duka Mlimani Mall? jifunze kwa Jackline Mengi, ametulia ameacha anapendeza, angalia Wema ngozi imechoka, uso umechoka, makalia yanatetemeka, sikusemi kudhalilisha nataka upone, gonjwa hilo
Unatakiwa kupenda kitu chenye ncha kali w vp? By the way naona DG anataka kufanya mauzo kupitia wema nothing bigMi nimependa huo mgongo alivyolala huyo calisa,,
HahahahahaKwahiyo mademu wa humu, wote mpenzi wenu Nyani ngabu.....??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Season 2 inaendelea [HASHTAG]#drama[/HASHTAG]
[emoji15] [emoji21]Yaani baada ya kumaliza mil. 500 za idris sultan kamkimbia wema ku....(in Remy ongala voice)
Idris sasa hivi anachekacheka tu huko instagram
Dah jamaa atafaidi sana,
Kumpata mtoto bikira kabisa super star Wema Sepetu sio jambo dogo eti.
Anamzidi na Mange ambaye naye alikuwa anakataa kuwa kaachana na mumewe wakati ni kweli?Wema alivyodanganya nchi nzima na nyumba ya mil400, na kudanganya kaolewa kumbe movie, sitokaa niamini habari yake hata moja!!!! Ni mwongo kupindukia!
Mwongo kuliko Recho Temu!
Utaenda kwenye harusi?Wema alivyodanganya nchi nzima na nyumba ya mil400, na kudanganya kaolewa kumbe movie, sitokaa niamini habari yake hata moja!!!! Ni mwongo kupindukia!
Mwongo kuliko Recho Temu!
Utaenda kwenye harusi?
Anamzidi na Mange ambaye naye alikuwa anakataa kuwa kaachana na mumewe wakati ni kweli?
Au wote ndo walewale tu?