rass a town
Member
- Sep 25, 2016
- 22
- 13
Taarifa zenyewe umetoa Instagram unaleta huku yaani yaan we kichaa kati ya watanzania wanne
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji13]Huyu boya anatuonyesha vuzi au wakuu hamjaona
Magufuli umetisha, huu mwaka hadi mashetani yataoana!
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23]jamaa isije kuwa kachukua za n.s.s.f, ndio anataka kuoa !!! ooooohooo !!! nahisi [emoji13] [emoji844]
We kumbe uliingilia season 5 hii sahv mkuu ni ya 6 so nakushauli uzitafte 1 hadi 5 ndo utaielewa vzrSeason 2 inaendelea [HASHTAG]#drama[/HASHTAG]
Mmhh na wewe hueleweki kabisa kila mtu unamtaka wewe[emoji12] [emoji14]Mi nimependa huo mgongo alivyolala huyo calisa,,
Mi nimependa huo mgongo alivyolala huyo calisa,,
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134] [emoji134] [emoji134]We kumbe uliingilia season 5 hii sahv mkuu ni ya 6 so nakushauli uzitafte 1 hadi 5 ndo utaielewa vzr
She is too late to catch the flight, Opportunity is like a window that only stays open for a while, WEMA baby girl umechelewa, Hakuna Ndoa hakuna steady relationship, kichwa mbovu umesomeshwa vizuri ushamba umekusababishia uishie kuwa Jamvi la majaribio, huonekani kujifunza, lazima kuna shida, bahati mbaya sioni kama unayo maturity ya kutafuta solution. Huna confidence kwako maisha ni sex tu, kama vile huna viungo vingine, kichwa hakipo wala uso wa haya haupo. Mange Kimambi once gave you a powerful advise, alisema WEMA TULIA! utapata mume wa hadhi yako akimaanisha walau wa umri wako, you are not young anymore ni bibi bomba wewe sasa hawa wadogo zako waache wakajifunzie kwa vijana wenzao, wewe - too old nilifikiri habari ya vigoma ingekutoa kwenye hizo old habits, huna biashara, huna shughuli, hizo lipstick zingekua zinatoka si ungeshafungua duka Mlimani Mall? jifunze kwa Jackline Mengi, ametulia ameacha anapendeza, angalia Wema ngozi imechoka, uso umechoka, makalia yanatetemeka, sikusemi kudhalilisha nataka upone, gonjwa hiloEndelea kuota
Mi nimependa huo mgongo alivyolala huyo calisa,,
Aiseee mungu ana maajabu mno sasa kabadilika lini kuwa binadamu?!Ahahaaaaaah...
Kweli ya dunia mengi...
Huyu Bwana leo anamnyapianyapia Wema Sepenga..!
Wakati kipindi hicho tupo nae Kurasini Sec School alikua NYUMBU tu..!
Dah..!!!
Huyu demu sio kbs anapenda sifaa mpk amezidHahah