George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,672
- 6,272
Sasa huyo Jokate ana nini cha ziada mkuu..!?Thubutuuu labda jokate wa uko uko tandale kwenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huyo Jokate ana nini cha ziada mkuu..!?Thubutuuu labda jokate wa uko uko tandale kwenu
Mbona unaongea mwenyewe? Au ndio zile takwimu zetu za watu wanne ?ShikAdabu yako ifunguliwe kwanza.
Heeee mara ya mwisho ulimnyonyesha lini ?Mbona katoto sana hako kakijana?
Aliachana naye n akakiri mwenyew kua watu wache kumpost yeye na idris maana na 40 walishamaliza(matanga)nend page ya wema daily ndio alipewa huo mchambo kutoka kw wemaHata sijui
Hahhahaha uwiiiiiiiiiiii nmecheka kwa sauti hadi watu wamenishangaaAhahaaaaaah...
Kweli ya dunia mengi...
Huyu Bwana leo anamnyapianyapia Wema Sepenga..!
Wakati kipindi hicho tupo nae Kurasini Sec School alikua NYUMBU tu..!
Dah..!!!
Haaa ahaaaaa...uwiiiii my mbavuuuMagufuli umetisha, huu mwaka hadi mashetani yataoana!
jamaa isije kuwa kachukua za n.s.s.f, ndio anataka kuoa !!! ooooohooo !!! nahisi [emoji13] [emoji844]Ndoa za umaarufu kama za wenzangu hawa haziwezi kudumu na kuwa na maana ya ndoa
Wema bikra