Tetesi: Wema Sepetu a.k.a Tanzania sweatheart kuolewa hivi karibuni

UV
Dada kahaba hilo kila siku Mpya ukimwi utamhusu tu
Ubarikiwe kwa ushauri nzuri Sana, big up
 
Reactions: irk
Kwa hiyo akiiba jina la mwisho.litasomeka wema salome maana calisa kajiremba kajipodoa kapodoka sio kwa urembo huo
 
Reactions: irk
Wema alivyodanganya nchi nzima na nyumba ya mil400, na kudanganya kaolewa kumbe movie, sitokaa niamini habari yake hata moja!!!! Ni mwongo kupindukia!
Mwongo kuliko Recho Temu!
 
Wema alivyodanganya nchi nzima na nyumba ya mil400, na kudanganya kaolewa kumbe movie, sitokaa niamini habari yake hata moja!!!! Ni mwongo kupindukia!
Mwongo kuliko Recho Temu!
Anamzidi na Mange ambaye naye alikuwa anakataa kuwa kaachana na mumewe wakati ni kweli?

Au wote ndo walewale tu?
 
Wema alivyodanganya nchi nzima na nyumba ya mil400, na kudanganya kaolewa kumbe movie, sitokaa niamini habari yake hata moja!!!! Ni mwongo kupindukia!
Mwongo kuliko Recho Temu!
Utaenda kwenye harusi?
 
Reactions: irk
Anamzidi na Mange ambaye naye alikuwa anakataa kuwa kaachana na mumewe wakati ni kweli?

Au wote ndo walewale tu?

I would understand Mange kama mama wa familia aliejaribu ku keep privacy ya ndoa kwa ajili ya watoto hadi mzungu alipoamua kwenda hadharani,
Ila huyu Wema ptuuuuuuu!!!!!!!!!!
 
Reactions: irk
...jamaa anaeoa yuko wapi?..naona mademu tu kwenye Uzi huu...ama ni ndoa ya mishoga?
 
Reactions: irk
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…