Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Yule dada mrembo wema isack sepetu, madam, sepenga ambaye aliwah kuwa kada wa chadema na sasa kutimukia ccm amedai kuwa mkuu wa mkoa wa dar bwana paul makonda ni malaika aliyetumwa na mungu kuja kuwakomboa wanadamu
Hayo yamejir baada ya mkuu wa mkoa wa dar kumusaidia kijana ahmed kumpeleka china kwa matibabu kwa gharama zake mwenyewe
Wema amedai hakuna kama makonda na hatokaa atokee kama makonda
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Yule dada mrembo wema isack sepetu, madam, sepenga ambaye aliwah kuwa kada wa chadema na sasa kutimukia ccm amedai kuwa mkuu wa mkoa wa dar bwana paul makonda ni malaika aliyetumwa na mungu kuja kuwakomboa wanadamu
Hayo yamejir baada ya mkuu wa mkoa wa dar kumusaidia kijana ahmed kumpeleka china kwa matibabu kwa gharama zake mwenyewe
Wema amedai hakuna kama makonda na hatokaa atokee kama makonda