Wema Sepetu adai Makonda ni malaika wa Mungu aliyetumwa duniani

Wema Sepetu adai Makonda ni malaika wa Mungu aliyetumwa duniani

Kwa kuwa hatujui ni Mungu gani wanayemwabudu, basi tuseme ni kweli ametumwa
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Yule dada mrembo wema isack sepetu, madam, sepenga ambaye aliwah kuwa kada wa chadema na sasa kutimukia ccm amedai kuwa mkuu wa mkoa wa dar bwana paul makonda ni malaika aliyetumwa na mungu kuja kuwakomboa wanadamu

Hayo yamejir baada ya mkuu wa mkoa wa dar kumusaidia kijana ahmed kumpeleka china kwa matibabu kwa gharama zake mwenyewe

Wema amedai hakuna kama makonda na hatokaa atokee kama makonda

View attachment 704220

Nina wasiwasi kuwa Bashite kashambashite Wema Sepetu.
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Yule dada mrembo wema isack sepetu, madam, sepenga ambaye aliwah kuwa kada wa chadema na sasa kutimukia ccm amedai kuwa mkuu wa mkoa wa dar bwana paul makonda ni malaika aliyetumwa na mungu kuja kuwakomboa wanadamu

Hayo yamejir baada ya mkuu wa mkoa wa dar kumusaidia kijana ahmed kumpeleka china kwa matibabu kwa gharama zake mwenyewe

Wema amedai hakuna kama makonda na hatokaa atokee kama makonda

View attachment 704220
Wema yuko sahihi. Hata mimi naliona hilo.
Malaika wa Mungu hawapendwi. Lakini matendo yao yanaonekana.

Makonda alitakiwa awe waziri mkuu. Angewaendesha sana mawaziri wengine watekeleze wajibu wao. Nchi ingebadilika haraka sana kama waziri mkuu angemsaidia Rais kuwa himiza mawaziri kutekeleza malengo ya Rais.

Waziri wetu mkuu wa sasa sielewi anafanya nini?
 
Hawa hawaelewi kabisa kwamba Watanzania wana akili sio wasubiri Wema anasema nini!
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Yule dada mrembo wema isack sepetu, madam, sepenga ambaye aliwah kuwa kada wa chadema na sasa kutimukia ccm amedai kuwa mkuu wa mkoa wa dar bwana paul makonda ni malaika aliyetumwa na mungu kuja kuwakomboa wanadamu

Hayo yamejir baada ya mkuu wa mkoa wa dar kumusaidia kijana ahmed kumpeleka china kwa matibabu kwa gharama zake mwenyewe

Wema amedai hakuna kama makonda na hatokaa atokee kama makonda

View attachment 704220
Hivi watu wana njaa mpaka wanakuwa matahila
 
B
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Yule dada mrembo wema isack sepetu, madam, sepenga ambaye aliwah kuwa kada wa chadema na sasa kutimukia ccm amedai kuwa mkuu wa mkoa wa dar bwana paul makonda ni malaika aliyetumwa na mungu kuja kuwakomboa wanadamu

Hayo yamejir baada ya mkuu wa mkoa wa dar kumusaidia kijana ahmed kumpeleka china kwa matibabu kwa gharama zake mwenyewe

Wema amedai hakuna kama makonda na hatokaa atokee kama makonda

View attachment 704220
izqR----[emoji6]' [emoji18] [emoji39] [emoji39] [emoji26] .yssj
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu

Yule dada mrembo wema isack sepetu, madam, sepenga ambaye aliwah kuwa kada wa chadema na sasa kutimukia ccm amedai kuwa mkuu wa mkoa wa dar bwana paul makonda ni malaika aliyetumwa na mungu kuja kuwakomboa wanadamu

Hayo yamejir baada ya mkuu wa mkoa wa dar kumusaidia kijana ahmed kumpeleka china kwa matibabu kwa gharama zake mwenyewe

Wema amedai hakuna kama makonda na hatokaa atokee kama makonda

View attachment 704220

Nina wasiwasi kuwa Bashite kashambashite Wema Sepetu.
 
Back
Top Bottom