Daaah haujui km kuna tofauti ya mungu na Mungu aiseee, acha CCM itutawale tuKwa akili yako unaona kati ya mungu na Mungu kuna tofaut siyo
Kwahio na wewe kwa IQ yako unaona mungu na Mungu ni sawa??Kwa akili yako unaona kati ya mungu na Mungu kuna tofaut siyo
Umepotoshwa mshamba mkubwa wewe tofaut ya MUNGU na mungu iko moyon na kwenye matendo siyo kwenye maandikoDaaah haujui km kuna tofauti ya mungu na Mungu aiseee, acha CCM itutawale tu
IQ yako sio level zagu kubishana na wewe...tufanye umeshindaUmepotoshwa mshamba wewe MUNGU na mungu wako moyon siyo kwemye maandiko
Asante mjanjaUmepotoshwa mshamba mkubwa wewe tofaut ya MUNGU na mungu iko moyon na kwenye matendo siyo kwenye maandiko
Acha kuisingizia ccm kwenye kila kitu maana kuna siku mkeo atapigwa miti na utaanza kulia lia na kuisingizia ccm
Da Mange ametoa tamko gani hadi sasa...
Mkuu we huoni tofauti hapo?Kwa akili yako unaona kati ya mungu na Mungu kuna tofaut siyo
Mkuu Beira kuna tofauti kubwa sana kati ya mungu na Mungu.Kwa akili yako unaona kati ya mungu na Mungu kuna tofaut siyo