Wema Sepetu afunguka kuhusu siri ya utajiri wake

Wema Sepetu afunguka kuhusu siri ya utajiri wake

Kweli tz ni noma kumbe wema ni tajiriiiiiiiiiiiiiiiii
 
hela wema anayo wanaomponda humu ni wale kushona sare ya harusi labda bi harusi/ bwana harusi ajitolee. loo yakubadilisha mboga wema anayo.
 
mi naona mngeweka picha tuzione hizo mali zinazomfanya aitwe tajiri
 
Kwa hyo nae anakula sahani moja na akna Bill Gates au?
 
Live abetter life wengi wetu tumekuwa watu wa kulalamika maisha magumu, hakuna kazi na muda mwingine tunatupa lawama kwa Mungu kwanini amekuumba masikini.

Lakini bila kufikilia kwanini uzaliwe masikini na ukubali kufa masikini? ajira ziko nyingi sana lakini sababu ni ipi wewe ukose? elimu? rushwa? juhudi? au kukata tamaa? Je tangu umeamka leo umfanya kitu gani cha maana cha kukuingizia pesa?

Iam sure hakuna upo eiza Kijiweni, Kitandani au umejiachia sehemu ya starehe unapiga picha then unalalamika maisha magumu amka jitume pesa unayo tumia kuweka bando na kusoma umbea.

Uliwahi piga mahesabu kwa week unatumia shilingi ngapi kuweka vocha katika simu yako? na hiyo pesa ukiijumlisha kwa mwezi ni shilingi ngapi? Iam sure ni pesa ambayo inaweza kuwa mtaji wa biashara au mwanzo wa kulipia ada ukasome kozi furani ili uongeze juudi.

Hao matajiri wanaotutengenezea simu na vocha wote walianza na 0 now wako nusu number usilalamike maisha magumu wakati huna juudi yoyote uliyo fanya live a better life tumia vocha yako vizuri je ungependa kuwa kana Wema Sepetu.

Basi jifunze kujaribu kwani hta yeye alijaribu kuwa Miss na hakuwa na mategemeo ya kushinda but leo hii amekuwa tamanio la wengi, always try and never give up hata mimi sikutegemea kama leo hii ningekuwa kipenzi cha wengi but nilijaribu na nikafika.

Usiogope always try # Live abetter life# Be Wema fanya Wema

Ndo Wema amefunguka??? Watu wengne hovyo kbs, title is east and contents west...!!!
 
Yaan nimewah kuja kujua hiyo sirii loooo
 
Wema ana utajiri wa FREE PAPUCHI...!!! selling it at current market value, but with back door adding more value...!!! hana utajiri zaidi ya huo..!!
 
duuh,
mi nikajua atasema umetokana na kutokuzaa kwake..
 
Back
Top Bottom