duh hili nalo neno
Sidhani hata kama amekaribia kuwa na hadhi ya kuitwa 'muigizaji mahiri' labda hilo jingine inaweza kuwa sahihi
Kwa taarifa yako Wema Sepetu ndiyo "The Best Actress in Tanzani cheki filamu zake kama;Red Valentine,Crazy Tenant,House Boy,Madame na nyinginezo!!!!
Kwa taarifa yako Wema Sepetu ndiyo "The Best Actress in Tanzani cheki filamu zake kama;Red Valentine,Crazy Tenant,House Boy,Madame na nyinginezo!!!!
Mamiss kibao wamepita tumewasahau kiasi kwamba wengine wakifa watu hata hawastuki so umiss sio ishu sana,kinachofanya Wema awe hot hadi leo hii kwenye medias sio umiss bali ni mambo yake tu(skendo),sio umiss wala kazi anazozifanya.Kinachonishangaza ni kuona eti ana mashabiki kuliko wasanii wa kweli kama Thea,Monalisa,Johari,etc.Hii ndo Bongo bwana!Atakumbukwa kama former miss tz 2006.. Mwaka 2007 wakati anamkabithi crown Richa Adhia miss tz mwakahuo alisema " Once your a miss Tanzania you will always be"
Wema Sepetu atakumbukwa kwa kuwa ni mwigizaji mahiri na anayeishi maisha ya juu kuliko wanawake wote Tanzania!!!!
maisha ya juu nahisi unayafananisha wewe yeye akiishi maisha ya juu na mwamvita makamba tuseme anaishi maisha gani?
Mamiss kibao wamepita tumewasahau kiasi kwamba wengine wakifa watu hata hawastuki so umiss sio ishu sana,kinachofanya Wema awe hot hadi leo hii kwenye medias sio umiss bali ni mambo yake tu(skendo),sio umiss wala kazi anazozifanya.Kinachonishangaza ni kuona eti ana mashabiki kuliko wasanii wa kweli kama Thea,Monalisa,Johari,etc.Hii ndo Bongo bwana!
Kwa taarifa yako Wema Sepetu ndiyo "The Best Actress in Tanzani cheki filamu zake kama;Red Valentine,Crazy Tenant,House Boy,Madame na nyinginezo!!!!
Wema ni amateur kama hao bongo movie wengine.
Sio muigizaji ila anajaribu kuigiza.