Realistic kweli kweli...wala hata cna undugu nae am trying to be realistic here! Hao wamagazeti ya udaku wanamfatilia sana dada wa wa2 coz wameshajua yeye akiwa kwnye front pages ndo magazeti yana uza zaidi!
wala hata cna undugu nae am trying to be realistic here! Hao wamagazeti ya udaku wanamfatilia sana dada wa wa2 coz wameshajua yeye akiwa kwnye front pages ndo magazeti yana uza zaidi!
arifu unasikilizaga klauzi fm?Kumbe na wewe unasikilizaga Clouds eeeh? Safi sana.
wala hata cna undugu nae am trying to be realistic here! Hao wamagazeti ya udaku wanamfatilia sana dada wa wa2 coz wameshajua yeye akiwa kwnye front pages ndo magazeti yana uza zaidi!
Kwani wakisema anaringa yy atavunjika mguu???wameshasema mangapi mpaka sasa???!!! Mambo mengine anajitakia tu hamna loloteee.....ni ushamba na ulimbukeni.
Hehehehehe! Wanchekesha.wala hata cna undugu nae am trying to be realistic here! Hao wamagazeti ya udaku wanamfatilia sana dada wa wa2 coz wameshajua yeye akiwa kwnye front pages ndo magazeti yana uza zaidi!
YoYo watu wanatofautiana na sana, humu tu JF kuna mtu alishasema yeye pamoja na haya yoooote bado anatamani Wema awe mkeweaisee huyu mwanadafada ataolewaga kweli?
arifu unasikilizaga klauzi fm?
Nenda kawaambie hao wa magazeti ya udaku.hakuna aliye msafi neither me nor you,my point is 2sipende kujudge wa2 its too much!
C'mon now yaani Wema ndio anauza magazeti???for what????!!! Hao wengine kina Wolper sijui kinani wao hawauzi magazeti???? Be realistic to urself!
Wanamfuatilia au yeye ndiyo anajisababishia hizo attention? Nini kilimfanya anyanyuke na kwenda kumtuza Diamond kama siyo kutafuta attention? Kimbelembele chake kimemtokea puani. Ni heri tu angebaki kwenye meza kufurahia show na muke ya muzungu asiyeshevu kwapa.
NN wala usijisumbue kumjibu mtu mzima na akili zake alieamua kwa makusudi kabisa kujifanya haelewi..Wanamfuatilia au yeye ndiyo anajisababishia hizo attention? Nini kilimfanya anyanyuke na kwenda kumtuza Diamond kama siyo kutafuta attention? Kimbelembele chake kimemtokea puani. Ni heri tu angebaki kwenye meza kufurahia show na muke ya muzungu asiyeshevu kwapa.
kwani wolper hua haandikwi?juzi 2 nimemuona kwnye gazeti..
Hehehehehe! Wanchekesha.
Ila wewe unaekazana kusema hapa una undugu nae?mbona wengine hua wakienda kumtunza ha2semi?the problem 2mezoea kusema na kujudge wa2 ambao hata we are not related 2 them!
Hehehe! Bajabiri wewe!... Mie sijui bana.
mbona wengine hua wakienda kumtunza ha2semi?the problem 2mezoea kusema na kujudge wa2 ambao hata we are not related 2 them!
Wema kazidisha. Mara yuko polisi....mara sijui yuko Segerea....mara kamtishia Bob Junior....hivi ana nini?
ongeza cku za kuishi
Ana mdudu...