WEMA SEPETU anahojiwa XXL CLOUDS FM now

WEMA SEPETU anahojiwa XXL CLOUDS FM now

Kuna wakati Wema sijui alifanya timbwili gani tu hadi kulazwa rumande au sijui gerezani...

Alipotoka nywele zilikuwa timtim kama kichaa vile. Yaani huyu dada bana....
Heheee alivunja kioo cha gari la Kanumba nadhani...
 
Heheheeee si uliona ile kwapa ya muke ya muzungu? Ile inaonekana wembe haikupita kwa siku kadhaa pale....au we wasemaje?

NN unanimaliza hapa.....yani baada ya ww kusema ilibidi nirudi kwenye picha nikaingalie vizuri ndio nikagundua kuna vitu vinachungulia! Aibuuu sana kwa muke ya muzungu duuuh
 
NN unanimaliza hapa.....yani baada ya ww kusema ilibidi nirudi kwenye picha nikaingalie vizuri ndio nikagundua kuna vitu vinachungulia! Aibuuu sana kwa muke ya muzungu duuuh

Eti ukagundua kuna vitu vinachungulia....mama T bana....hahahahaaa
 
Mwacheni Wema afanye maisha yake,ayo ndio maisha aliyochagua...binafsi namkubali.
 
Jamani mnaumiza vichwa na muda wenu bureeeeee Wema bado hajakua jamani ndo wakati wake msiwe na wasiwasi wapendwa kha maana nimesoma post nakucheka tu mie haya
 
NN unanimaliza hapa.....yani baada ya ww kusema ilibidi nirudi kwenye picha nikaingalie vizuri ndio nikagundua kuna vitu vinachungulia! Aibuuu sana kwa muke ya muzungu duuuh
Watu wanajijua wako kwenye sport light 24/7 halafu wapo kihasa hasara tu...
 
Kweli tuna skendo zetu. Lakini hautoshi panty zetu za mwezi kwenye jukwaa.Huyu dame anatakiwa aende ocha miezi kadha afrikirie maisha yake. Hakuna cha kusetiwa na magazeti, nikujitafutia.
 
Hukuona mdada kavaa gauni la kitenge na raba?

Hahahaaa swahiba umenikumbusha chick mmoja hivi clip ya kipindi cha uswazi...lol

'minisati ya Jei feroo'....loool yule lazima ni muarusha
 
Back
Top Bottom