WEMA SEPETU anahojiwa XXL CLOUDS FM now

WEMA SEPETU anahojiwa XXL CLOUDS FM now

Aaaaaaah wacha bana! Gauni la kitenge na raba mtoni? Mi nilidhani alinyuka kigauni kama muke ya muzungu
Aah wapi anafikiri mi ni kama yeye anapiga dera na sendeu chini
 
Hahahaaa swahiba umenikumbusha chick mmoja hivi clip ya kipindi cha uswazi...lol

'minisati ya Jei feroo'....loool yule lazima ni muarusha
Hahahaha!...ni muarusha kabisa wala hujakosea, manake nakumbuka kile kipindi Mussa alikuja kurekodi arusha lol.
 
Hahahaha! Hajamfikia muke ya muzungu ndio mana alijificha ficha mpaka hujamuona!

Ila muke ya muzungu alichemsha mbaya sana. Ingekuwa labda alibabatizwa tu na paparazi akiwa gengeni hapo ningeelewa. Lakini si kwenye shoo kama ile halafu kwenye redi kapeti. Asirudie tena.
 
Ila muke ya muzungu alichemsha mbaya sana. Ingekuwa labda alibabatizwa tu na paparazi akiwa gengeni hapo ningeelewa. Lakini si kwenye shoo kama ile halafu kwenye redi kapeti. Asirudie tena.
Labda yeye hana tatizo bana na kichaka chake, maana hainingii akilini mtu hata saa ya kupaka deo hakujiona? Jumlisha na nguo alokuwa kavaa hakugundua tu kuna mahali hapako sawa?
Na pozi la picha tena ndo akaachilia kabisa mfaudu...lol
 
Ila muke ya muzungu alichemsha mbaya sana. Ingekuwa labda alibabatizwa tu na paparazi akiwa gengeni hapo ningeelewa. Lakini si kwenye shoo kama ile halafu kwenye redi kapeti. Asirudie tena.
Yaani muke ya muzungu imetia aibu NN, inajishaua na makwapa yana msitu lol.. Sijui kwanini muzungu hajamshauri kuziondoa!...
 
Labda yeye hana tatizo bana na kichaka chake, maana hainingii akilini mtu hata saa ya kupaka deo hakujiona? Jumlisha na nguo alokuwa kavaa hakugundua tu kuna mahali hapako sawa?
Na pozi la picha tena ndo akaachilia kabisa mfaudu...lol

Labda muzungu anapenda iwe hivyo....
 
Hehehee sijamfikia wapi urefu wa vinyweleo sio? Kama hivo sawa...lol
Hujamfikia upande wa makwapani, ungekuwa na msitu kama wake lazima ungejishaua kwenye kamera lol.
 
Labda muzungu anapenda iwe hivyo....
Usikute yana raha yake bana...lol

Ngabu nimekumbuka Julia Roberts naye aliwahi kunaswa na kichaka kwapani tena chake kilikuwa balaa...
 
Video clip ya Wema akiwa ndani ya XXL leo

 
Last edited by a moderator:
Usikute yana raha yake bana...lol

Ngabu nimekumbuka Julia Roberts naye aliwahi kunaawa na kichaka kwapani tena chake kilikuwa balaa...
Lol...bht usikute kichaka kina siri sie hatujaigundua jamani, manake mie mbona hainiingii akilini tena haswa nikiona mdada ana kichaka!
 
Hahahahahaha! Huna adabu kabisa kunifanya nicheke kama mwendawazimu lol.
Heheehe nimekoma mwaya...ila nampango wa kuyastawisha na mimi ngoja nimuulize baba mtoto ...lol
 
kweli wewe sikio la kufa.hivi unatuletea mambo yakinawema humu unadhani hapa ni mahali mtu ukijisikia kuandika utumbo wako basi unaandika tu?tusipotoshe maana halisi yahii jf tafadhali.tuandike vitu vyamsingi jamani.
 
Heheehe nimekoma mwaya...ila nampango wa kuyastawisha na mimi ngoja nimuulize baba mtoto ...lol
Hehehe! Kwani baba mtoto yako ni muzungu weye?...

Akikukubalia na mimi nakuiga lol.
 
Back
Top Bottom